Wadau hii ni kweli?

Wadau hii ni kweli?

Yah ni kweli wanawake wengi ni mpaka wasomeshwe na kauongo ndio wanakua walaini
 
Yah ni kweli wanawake wengi ni mpaka wasomeshwe na kauongo ndio wanakua walaini

teh teh ndivyo ilivyo. Kwa mfano unamtongoza mdada unayejua anapenda wanaume wenye usafiri au gari alafu unamweleza ukweli kuwa huna hata gari, teh si atakukata Kaaaah na kibuti puuuuh! Lakini ukiingia na swaga za gari la best yako kwa cku chache tu ulishamaliza kazi. Kauongo wanakapenda japo hawajui kama wanakapenda!
 
kumpata mwanamke siku zote uongo ndio unafanya kazi yake ukiingia mkweli kwenye kila kitu utaula wa chuya
 
75% a man is physical attracted, other factors take the remaining 25%. Usiamini anaekwambia tabia nzuri is foremost....deep down akija dada mrembo anasahau yote hayo.
 
Na sie tunaotongozwa na madomo zege kwa njia ya msg? Mbona tunasoma kwa macho? Teh teh teh

Ha ha ha atoto.. ina maana macho yanachukua kazi ya masikio badala ya kusikia mashairi macho yanasoma mashairi..
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha atoto.. ina maana macho yanachukua kazi ya masikio badala ya kusikia mashairi macho yanasoma mashairi..

Ndio, pale macho ndio yanasoma masikio yametuliaaaaa!!
 
Last edited by a moderator:
Oooooh baby kamani ndio unarudi kimya kimya bila hata taarifa!!! Dont you know how much i missed you?

Najua zaidi ya unavojua bado sijarudi ni mstuko tu ulinipata ntatoa taalifa rasmi
 
wanawake huwa hawapendi! but they have something called Lust! they can accept whoever they manage to meet and whoever speaks about love!

men do love women have lust!
 
Back
Top Bottom