WADANGAJI Waongezeka Maradufu (2016-2018)

WADANGAJI Waongezeka Maradufu (2016-2018)

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,105
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani anapata thawabu.
* Wadangaji wengi hupendelea ngozi nyeupe (hasa Waarabu na Wachina).
** Ustaraabu jambo la bure unadanga unajitoa ufahamu kama mtoto wa kindergatten ukiuliza umeona Wallet imetuna (mimacho imekutoka kama hujawahi ona Wallet) aisee mtakuja kuumbuka kwa kukopwa. Wavimba macho si watu wema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom