Wadangaji wameongezeka maradufu (2016-2018)

Wadangaji wameongezeka maradufu (2016-2018)

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,106
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani chakula.
* Wadangaji wengi hupendelea ngozi nyeupe (hasa Waarabu na Wachina).
** Ustaraabu jambo la bure unadanga unajitoa ufahamu kama mtoto wa kindergatten ukiuliza umeona Wallet imetuna (mimacho imekutoka kama hujawahi ona Wallet) asee mtakuja kuumbuka kwa kukopwa. Wavimba mamcho si watu wema.
 
Ukiwaambia ukweli wanasema wanaume hawana hela. Ukweli ni kuwa hakuna mwanaume atadumu na slay queen.
Hata kama mwanaume anapesa.. mqanamke ukishaanza kuonyesha tabia za udangaji mwanaume anakuona malaya. Anakutema
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani SUNNA.
* Wadangaji wengi hupendelea ngozi nyeupe (hasa Waarabu na Wachina).
** Ustaraabu jambo la bure unadanga unajitoa ufahamu kama mtoto wa kindergatten ukiuliza umeona Wallet imetuna (mimacho imekutoka kama hujawahi ona Wallet) asee mtakuja kuumbuka kwa kukopwa. Wavimba mamcho si watu wema.
 
Sikubhz hawaangalii sura!!ni pochi nene...
Na huwa wanazila na ikifika wakati wa kuwala pia huwa tunakula kwa fujo sana hadi wanajuta kuzaliwa.
 
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani SUNNA.
* Wadangaji wengi hupendelea ngozi nyeupe (hasa Waarabu na Wachina).
** Ustaraabu jambo la bure unadanga unajitoa ufahamu kama mtoto wa kindergatten ukiuliza umeona Wallet imetuna (mimacho imekutoka kama hujawahi ona Wallet) asee mtakuja kuumbuka kwa kukopwa. Wavimba mamcho si watu wema.
Ninakuomba kwa jina la imani ya dini ninayoifuata mimi acha kutumia neno ambalo sisi tunalitumia katika ibada zetu !! Nakuomba sana .
 
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani SUNNA.
* Wadangaji wengi hupendelea ngozi nyeupe (hasa Waarabu na Wachina).
** Ustaraabu jambo la bure unadanga unajitoa ufahamu kama mtoto wa kindergatten ukiuliza umeona Wallet imetuna (mimacho imekutoka kama hujawahi ona Wallet) asee mtakuja kuumbuka kwa kukopwa. Wavimba mamcho si watu wema.
Hili neno "SUNNA" umelitumia kwa maana ipi hapo?
Sijaelewa unamaanisha nini?
 
Pamoja na kwamba kudanga ni utamaduni ama biashara kongwe nchini na kwingineko, asee kwa miaka hii ya karibuni KUDANGA kumekuwa kama LAZIMA kwa Dada zetu. Yaani mtu anadanga utadhani SUNNA.
* Wadangaji wengi hupendelea ngozi nyeupe (hasa Waarabu na Wachina).
** Ustaraabu jambo la bure unadanga unajitoa ufahamu kama mtoto wa kindergatten ukiuliza umeona Wallet imetuna (mimacho imekutoka kama hujawahi ona Wallet) asee mtakuja kuumbuka kwa kukopwa. Wavimba mamcho si watu wema.
Unajua maana ya kudanga ????
 
Wanawake wanaofanyakazi maofisini mostly nao ni makahaba tu kama wale wanaojipanga barabarani tofauti yao hawa wa ofisini wao wamesoma na degree zao za chupi,wana exposure,english nyingii lkn wote wananunuliwa kwa vipesa vya kijinga jinga,vi party,pombe,mizinga ya hapa na pale.

Inshort wote wanauza K tu ila kwa staili tofauti tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom