Wadada wenzangu hii sio poa

Nakupenda
 
Ninauhakika hali ikichafuka mtamkimbia[emoji1787][emoji1787]
Kiukweli sijawahi kuelewaga nyuzi za huyu ndugu mwananchi Kwa asilimia 100
Aaaaah kukichafuka itabidi apambane tu mwenyewe kwa kweli.. nyuzi zake zinaonyesha kama kuna kitu hakiko sawa na mwenyewe hajui anaona yuko Sawa tu
 
Watakatifu wenzio kina nani mkuu? Nataka mtakatifu mmoja anigawie upako
 
nyie humu mmezidi madhambiii aiseee.. hela watu hawana ila wao wanawaza matusi tu na kuchepuka na kuibiana kha! shetani mwenyewe anawaogopa
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Hebu achana na wazinifu wa humu kwanza!!
Ule mchongo niliokutuma umefikia wapi?
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Hebu achana na wazinifu wa humu kwanza!!
Ule mchongo niliokutuma umefikia wapi?
watu wa humu nahisi wanapenda kweli matusi kuliko hela yani wanapenda starehe za mapenzi kuliko hela

ERoni umeona mtu wako ameanza nisumbua kuhusu mnigeria ?
 
Ndio hivyo[emoji1787][emoji1787]
Ehee unamnasa bj nzito sana mpka apoteze kumbukumbu Kwa muda..akija kustuka ni kukuulizia β€œbabe kumbe ulivunjika meno Kwa muda”

[emoji28][emoji28]Pumbavu kabisa bj
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah wee dear nifundisheee bas.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu wa humu nahisi wanapenda kweli matusi kuliko hela yani wanapenda starehe za mapenzi kuliko hela

ERoni umeona mtu wako ameanza nisumbua kuhusu mnigeria ?
🀣🀣🀣🀣
Bichwa lako, mnaijeria wa wapi? Mie nilikutuma unitafutie kazi niachane na ujobless.
 
🀣🀣🀣🀣
Bichwa lako, mnaijeria wa wapi? Mie nilikutuma unitafutie kazi niachane na ujobless.
Si huyo Mnaija ndio kazi yenyeweee 😎 😎

Una cheti cha uchungaji kuna kanisa lina ajiri wachungaji kwa ajiri ya kuziba mapengo ya wastaafu.. katika idara mbali mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…