rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,496
- 41,921
Aisee wadada wenye Magari wanazingua sanaa kwani lazima mkiwa mnadrive mpandishe sketi juu mpaka mapaja yaonekane waziwazi??? Yani mnakera sana kukaa uchi hata kama magari ni yenu lakini muwe mnajisitiri huku nje tunawaona Trafic muanze kuwapiga fine hawaa