Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,793
- 13,940
Unapita zako njiani unaambiwa karibu, kuangalia labda kuna huduma inatolewa hakuna, unauliza vipi? Anajibu safi ni elfu 5000 na chumba analipia yeye. Mmh! Nabaki najiuliza nimekwambia nahtaji huduma ya malaya?
Why umshobokee mtu ambaye ni mpita njia tu? Si kama angekuwa anakuhtaji angekuja direct kwako? Tunashushana heshima sana jamani!
Inakera na ikitokea tena malaya ananikaribisha huduma ambayo haitambuliwi na mamlaka za serikali nitamzaba vibao.
Why umshobokee mtu ambaye ni mpita njia tu? Si kama angekuwa anakuhtaji angekuja direct kwako? Tunashushana heshima sana jamani!
Inakera na ikitokea tena malaya ananikaribisha huduma ambayo haitambuliwi na mamlaka za serikali nitamzaba vibao.