Tahadhari wana Jf.
Kuna member humu anaishi na virusi vya UKIMWI.
Na anaambukiza kwa makusudi.
Na target yake ni kuwaambukiza wadada wa Jf kwa kisingizio cha kuwatafutia kazi mkoa aliopo.
Ushahidi ninao.
Na member huyu anaitwa Nyeusi 20 (fungua code)
Ushahidi ninao kama kaathirika....
Na hata kama moderate watataka uthibitisho wa vyeti vyake (nilivipiga picha) nitaweka hapa.
Lengo sio kumuanika au kumnyanyapaa...lengo ni kuwapa tahadhari members wengine maana katika diary yake ameweke lengo la kuambukiza wadada 10 kutoka Jf.
(Modereta wakitaka pia screenshot za hio kurasa ya diary aliyoandika nitaiweka hapa au hata huko Pm kwao).
Kama kuna mtu anamjua huyu member au ashawahi kukutana nae live....NAOMBA AWE SHUHUDA WA AFYA YAKE (afya ya Nyeusi 20)
Atoae tahadhari, anawapenda wenzake.
Huyo member ana pesa sana na yuko tayari kukugharamia na kukupa hata milioni ilimradi atimize lengo lake.
Narudia tena.
Sina nia ya kumchafua mtu ila natoa tahadhari tu.
Muwe na asubuhi njema.
Nawapenda sana.
Wadada tamaa zitatuua....hasa kwa wapenda miteremko.
Pole sana vipi na wewe kashakupa mkuu? Umewezaje kusoma diary yake bila kukutanua, umewezaje kupata vyeti vyake muhimu vya Afya yake bila kuwa mtu wa karibu kwake?Tahadhari wana Jf.
Kuna member humu anaishi na virusi vya UKIMWI.
Na anaambukiza kwa makusudi.
Na target yake ni kuwaambukiza wadada wa Jf kwa kisingizio cha kuwatafutia kazi mkoa aliopo.
Ushahidi ninao.
Na member huyu anaitwa Nyeusi 20 (fungua code)
Ushahidi ninao kama kaathirika....
Na hata kama moderate watataka uthibitisho wa vyeti vyake (nilivipiga picha) nitaweka hapa.
Lengo sio kumuanika au kumnyanyapaa...lengo ni kuwapa tahadhari members wengine maana katika diary yake ameweke lengo la kuambukiza wadada 10 kutoka Jf.
(Modereta wakitaka pia screenshot za hio kurasa ya diary aliyoandika nitaiweka hapa au hata huko Pm kwao).
Kama kuna mtu anamjua huyu member au ashawahi kukutana nae live....NAOMBA AWE SHUHUDA WA AFYA YAKE (afya ya Nyeusi 20)
Atoae tahadhari, anawapenda wenzake.
Huyo member ana pesa sana na yuko tayari kukugharamia na kukupa hata milioni ilimradi atimize lengo lake.
Narudia tena.
Sina nia ya kumchafua mtu ila natoa tahadhari tu.
Muwe na asubuhi njema.
Nawapenda sana.
Wadada tamaa zitatuua....hasa kwa wapenda miteremko.
Amtaje kwa jina kabisaa na aweke docsKunashida mahali kama anafanya kusudi kwanini usiweke doc hadharani,umesema ushahidi unao halafu unaficha basi wewe ndio mwenye shida hapa sio yeye
Sent using Jamii Forums mobile app