Wadada sikuhizi wanatafuta sana wanaume

Wadada sikuhizi wanatafuta sana wanaume

Changes boy

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2017
Posts
552
Reaction score
363
Siku hizi maisha yamebadilika yani kila kona wadada kibao. Unakuta wengine mpaka wanasubiri au wanavunja huusiano wa watu ili wapate wao.tena wakisikia unavyomsifia mwanamme wako hapo ndio umeumia wanaanza uchonganishi maana umewapiku. Dada ukiwa na mwanamme wako anakupenda jifunze kutunza siri zake tena za mazuri anayokufanyia. Mabaya ropoka tu kwa rafiki ata watu
 
Nimependa kichwa tu.... ukweli ndio huo,sasa hivi wanawake ndio wanakaz ya kutongoza ili kupata waume. Wanaongoza pia kwenda kwa waganga kutafuta wachumba au kuwafunga walionao wasitoke nje
 
VITU VINGINE NI ULIMBUKENI MKUU, MASUALA YA MAHUSIANO NI KATI YA WAWILI WALIOKO KATIKA MAHUSIANO HAYO. MASUALA YA KUANIKANA KWA MARAFIKI SIDHANI KAMA NI JAMBO JEMA KIUKWELI
poa mkuu. Nimejifunza kitu
 
Ile zana ya wanawake tunaweza naona tunaitumia ipasavyo na hivi upande wa pili ni dhaifu
 
Kwa ulimwengu wa sasa hayo mambo yapo sana na sio wanawake pekee na huwa saa nyingine ni wivu tu wa kuona aliyepo pale anafaidi na pia wapo ambao ndio tabia zao hizo ambazo huwa hazibadilishiki.

Ila cha ajabu wakishafanya hivyo sasa hamnaga cha maana kinachoendelea hapo na mwisho wa siku yanawashinda wanaenda kuharibu pengine.
 
Nimependa kichwa tu.... ukweli ndio huo,sasa hivi wanawake ndio wanakaz ya kutongoza ili kupata waume. Wanaongoza pia kwenda kwa waganga kutafuta wachumba au kuwafunga walionao wasitoke nje
Huuu ni uchoyo, ratio ya wanaume na wanawake hauja balance kabisa, wanawake wengi mno
Katik hao wanaume wachache kuna mashoga humo, na katika hao waliobaki pia wengine hawaelewek wapo wapo tu.

Hapo ndo vita inaanza.
 
Siku hizi maisha yamebadilika yani kila kona wadada kibao. Unakuta wengine mpaka wanasubiri au wanavunja huusiano wa watu ili wapate wao.tena wakisikia unavyomsifia mwanamme wako hapo ndio umeumia wanaanza uchonganishi maana umewapiku. Dada ukiwa na mwanamme wako anakupenda jifunze kutunza siri zake tena za mazuri anayokufanyia. Mabaya ropoka tu kwa rafiki ata watu
Mkuu uwe una specify,wadada wa wapi,me nlipo sjaona taboa hizo na nipo hapahapa africa
 
Kwa ulimwengu wa sasa hayo mambo yapo sana na sio wanawake pekee na huwa saa nyingine ni wivu tu wa kuona aliyepo pale anafaidi na pia wapo ambao ndio tabia zao hizo ambazo huwa hazibadilishiki.

Ila cha ajabu wakishafanya hivyo sasa hamnaga cha maana kinachoendelea hapo na mwisho wa siku yanawashinda wanaenda kuharibu pengine.
Aisee!
 
Back
Top Bottom