Fekifeki JF-Expert Member Joined Nov 18, 2011 Posts 1,519 Reaction score 652 Jan 27, 2014 #61 brenda18 said: Wanawake wengi siku izi ni mwendo wa weaving bandika bandua...ata nywele original hatujui zinafananaje...give your hairs a break kidogo khaa Click to expand... Mkuu huu uzi umeniguza sana!! Jirekebisheni akina dada wanaume wa siku hizi wanapenda ''Natural Beauty''
brenda18 said: Wanawake wengi siku izi ni mwendo wa weaving bandika bandua...ata nywele original hatujui zinafananaje...give your hairs a break kidogo khaa Click to expand... Mkuu huu uzi umeniguza sana!! Jirekebisheni akina dada wanaume wa siku hizi wanapenda ''Natural Beauty''
HP1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2012 Posts 3,362 Reaction score 878 Jan 27, 2014 #62 charger said: Halafu unaangalia na sura yako basi kitu gani kitakupendeza,wengine unakuta weaving limekaa kama fagio la buibui lakini yumo tu. Click to expand... Naona una utani na mama wa mjengoni, Lol...
charger said: Halafu unaangalia na sura yako basi kitu gani kitakupendeza,wengine unakuta weaving limekaa kama fagio la buibui lakini yumo tu. Click to expand... Naona una utani na mama wa mjengoni, Lol...
Gorgeousmimi JF-Expert Member Joined Jun 21, 2010 Posts 9,296 Reaction score 7,688 Jan 27, 2014 #63 charger said: Halafu unaangalia na sura yako basi kitu gani kitakupendeza,wengine unakuta weaving limekaa kama fagio la buibui lakini yumo tu. Click to expand... ha ha haaaa umepatia kweli ka fagio la buibui lol......
charger said: Halafu unaangalia na sura yako basi kitu gani kitakupendeza,wengine unakuta weaving limekaa kama fagio la buibui lakini yumo tu. Click to expand... ha ha haaaa umepatia kweli ka fagio la buibui lol......
kibella24 JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 677 Reaction score 158 Feb 10, 2014 #64 brenda18 said: Nyie ndo mnatupa kaz....mtukubali jinsi tulivyo tukiwa natural Click to expand... hlo nalo neno
brenda18 said: Nyie ndo mnatupa kaz....mtukubali jinsi tulivyo tukiwa natural Click to expand... hlo nalo neno