Wadada makwapa hayo

Hii ni kweli jamani,unakuta mwanamke,binti,msichana kwapa lake linatoa harufu kweli halafu kaweka kishoka sasa kwenye gari,,,,,uwiiiiiiiiiiiiii!!!mdomo unanuka,kwapa linanuka,nywele zinanuka,papuchi ndo usisema!!!ni shiiiiiida kwa kweli!!
 
Hahahahahahahahaha!! Chinga One umeikamilisha cku yangu leo, duh! Rangi ya shaba
 
ha ha ha h jamani pia kuna watu anaharufu ya kikwapa lakini hajijui sio wakaka sio wadada jamani mtu inakuwaje husikii harufu yako? utakuta mtu kavaa shati jeupee au bidada kapiga makeup huko usoni balaa sasa akusogelee dah kijasho hicho mwingine mpaka nguo zake zimekuwa na harufu hiyo tu aiseee me najua kila mtu ana jasho lakini kuna njia nyiingi za kucontrol hiyo hali isikere wengine na hao wanaovaa vitop hali wajua makwapa yao hayana mvuto si waache tu jamani wafiche hivyo vipapatio kupendeza si lazima kuvaa kitop chaaaaaa
 
Hii ni kweli jamani,unakuta mwanamke,binti,msichana kwapa lake linatoa harufu kweli halafu kaweka kishoka sasa kwenye gari,,,,,uwiiiiiiiiiiiiii!!!mdomo unanuka,kwapa linanuka,nywele zinanuka,papuchi ndo usisema!!!ni shiiiiiida kwa kweli!!

Hivi uchafu unajinsia?
 
kwa kweli inakeraaaaaa

Ila kuna wanaume ambao wanapenda...ndio maana utakuta mkaka mdaa mchafuu ananuka yeye anaenda...wengine wanapenda harufu harufu flani nahisi pengine zinawapa stimu


 
Watu8 jamaa upo kweli JF long time no see you bro maana wiki tu kwa uhai wa binadamu ni kubwa sana....vinginevyo nakusabahi tu mkuu👋
 
Unataka topic moja iongelee kila kitu? Hii ni mahususi kwa hili tu, ukitaka hilo nawe anzisha yako, wacha kukwepesha hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha umeongea kwa hisia balaa nimecheka kwenye neno masharubu yamechomoza kama meno ya mamba Watu8
 
unakuta mdada kikwapa chake kuna vinyweleo kama ndevu za beberu
 
Siyo Wadada tu jamani hata Wakaka mpo wengi tu makwapa yenu yanatisha ni hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…