Wadada makwapa hayo

wapasheni maana hapa mtaani nikisema wananiona mbaya.kuna siku nilikuwa natoka Tegeta naelekea Mwenge tukapanda townbas na binti 1 pembeni angu.aliponyanyua mkono kushikka bomba niliamua kumwambia konda nashuka japo nilikuwa hata sijafka nusu ya safari angu sababu ya arufu ya kwapa ya yule binti.
 
Mwataka tubalansi kwani siye twauza nyama buchani hapa...
Wanaume wanajiachia wazi kwa kuwa wana misuli ya kuonyesha...
Sasa nyie mwajiacha wazi hiyo misuli yenyewe iko wapi kama si mwatuonyesha misharubu tu ile kama kibrashi cha chachandu...eboh!!

Ha ha ha ha daah mkuu we noma eti kibrashi cha chachandu kha umeniua mkuu.
 
Ni bora hao wanawake wanaokwangua na wembe unakuta janaume halinyoi kabisaaa na ni wengi mno

Sasa kama nyie wachuchu wao kunyoa hamnyoi na kutema mwatemesha...hao wanaume watakuwa katika hali gani??
 
Wadada wenzangu samahanini lkn kwa hili naomba nimsapot mtoa mada. Ukweli kwenye hili wengi wanashindwa. Wadada wanahusudu kuvaa tu lkn miili yao kuitunza wanasahau sana. Hili mm nimeliona kwa wanawake wenzangu, kwapa nyeusi, na zimefanya marinda/makunyanzi, kuishia kunyoa tu sio solution, harufu nayo pia lazima ifanyiwe kazi, kama ni maradhi tiba si zipo? Na tuache kutumia deodorant za ajabu mana wengine huona wanakata harufu kumbe hujipaka madude ya kukirihisha wenzao. Na kwenye deodorant spray ni nzuri zaidi kuliko rolls au sticky. Spray zinasaidia kuweka dry muda mrefu. Dada kama una uwezo fanya waxing ya Kwapa kuliko kutumia wembe au shaving mashine. Waxing inasaidia kuepusha weusi na vinywele vinachelewa kuota. Al udi na udi nao vinasidia kukufanya uwe unanukia vizuri full time. Mwanamke kweli ukiwa safi inapendeza zaidi, hao wanaume sisi ndo tuwasaidie kuwa wasafi.
 
Kaka hapo mzigo ndio hauliki tena...yaani utapiga chafya hadi lile kamasi la mwisho likutoke....phweeee!!!

Umeona eeh! halafu wanasema eti vijana wa 20s-35 hawajui mambo kumbe ni uchafu wao ndo unakatisha stimu mtu unaona bora uplge vya fasta binti asepe zake maana kaharibu mazingira.
 

Ha ha haaaaa. Nimecheka mpk mwanangu ananiuliza nacheka nn?
 

Safi kabisa mdada kula LIKE.
 
Bora Mmesema mimi ilikuwa inaniboa kishenzi.Mdada mwenyewe RANGI 2!!
 

nikutumiaje hela wewe binti ule kuku weekend..?
Million LIKES
 

Yamekukuta eeeeehhhh!!!Pole sana kaka. Hawa akina dada wa dot com hawajafundwa na wazazi wao.

 
Khaaaa.
Aisee dada zangu... leo mmebebeshwa. Jamani hayo maneno! Heeee!
 
Ouchhh watu8 upo poa kabisaa??
 
Last edited by a moderator:
Ni bora hao wanawake wanaokwangua na wembe unakuta janaume halinyoi kabisaaa na ni wengi mno

Una jifananisha wewe mwanamke na wanaume? haujui kua nyie ni mapambo ya dunia? usitake kujustify uchafu wenu eti kisa wanaume na wao wako hivyo mnatia aibu nyie watu jirekebisheni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…