Heart
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 2,673
- 1,708
HEART bana!Nitakuambia wakati ukifika bana we tulia tu!
Nahisi jina lako halisi litakuwa Joseph...hapo juu umetaja tabia zako haswaaaaaaa...#Nimekushtukia :eyebrows:
HEART bana!Nitakuambia wakati ukifika bana we tulia tu!
Imefikia mahali tuanze kuzungumzia tabia za watu zinapotokea ili kama unaamua kufanya jambo au kuanzisha uhusiano ujue unachofanya.Maana malalamiko yamezidi kila siku huyu kamtenda huyu mara sijui nini!Kuna utafiti umefanyika maeneo tofauti duniani kuhusu watu wenye majina ya JOSEPH,watu hawa imethibitika kuwa na tabia kuu tatu,nazo ni;Kujipenda zaidi,dharau na zaidi hubadilisha wanawake kama nguo.Utafiti huo ulifanyika kwenye miji ya Soweto,J'burg,Dar es Salaam,Munich,Liverpool,New York na Alaska umeonesha kati ya kila watu kumi,watu nane mpaka tisa wamekuwa na tabia hizo.Sasa wadada mnatakiwa mjiulize mara mbili mtu mwenye jina hilo anapokuaproach,kama uko kwenye uhusiano na Joseph hebu kagua uhusiano wako.Kama huamini kagua akina Joseph unaowajua.Mimi nawafahamu wa5 wote wanafit hapo!
Eiyer ! Unamuulizaje mtu swali la kiivo? Mpaka umemfanya Kongosho mate yamemjaa mdomoni ! Sijui mizikigugu Nimjuavyo alivyo fasta na makini angeshakujibu zamani, subiri akishatema atakujibu!
Mmmh!km kuna ukweli flan kwa wa3 ninaowafaham mm mmojawapo ni shemeji yangu,ikitokea akasoma hapa lzm atakutafuta lol!
Canta mamii!
Shemeji yako alitendwa na Joseph?
How?
Aah wapi!Umekosea mno,hebu kuwa na subira siku nikija na jila lingine nitakuPM ujue hilo ndo langu!Unatamani kujuaee!
Hongera husna!