Wadada; kuchezewa ndio nini??!

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,592
11,831
Wadada hebu leo naomba mnipe ufafanuzi kuhusu hii kauli yenu ya Kusema kuwa mmechezewa.
Hivi kwani mkigegendwa kwenu ndo ni kuchezewa.??
Kwani hiyo kitu imeumbwa kwa kazi gani??

Inamaana nyinyi hamfurahii tendo??
Heti emenichezea tu kamaliza haja zake kaondoka/kaniterekeza.
Wanaume wabaya.!!

Kwani alikubaka au na we pia ulikuwa na haja na hilo tendo ndo mana umekubali???
Sasa kwanini useme umechezewa wakati na we uli enjoy vya kutosha tu tena hela ulipata.

Mbona mnakuwa wanafiki kiasi hiki?? Inamaana kila atakae gegeda kwako ndo akuoe???

Hebu leteni majibu ya kueleweka hapa.
 
Usishindane na mwanamke huyo mwenzako ataolewa;

atahongwa na nyumba atajengewa;

vpi mwanaume mwenzangu nawe utatafuta bwana wakukuhonga na kukuchezea? - Nay Wa Mitego.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Usishindane na mwanamke huyo mwenzako ataolewa;

atahongwa na nyumba atajengewa;

vpi mwanaume mwenzangu nawe utatafuta bwana wakukuhonga na kukuchezea? - Nay Wa Mitego.
Umeelewa nilichokiandika hapo au??
 
Got played!
Maana yake umechezea hisia zake,umeenda kinyume na matarajio yake.Na sio kila mahusiano mwanamke ataona kachezewa.Kwa maana kuna mahusiano sisi ndio tunawachezea ninyi pia ila huwa hamtumii hili neno.
 
Kula vitu kula vitu tumezaliwa kula vitu Acha maneno weka Papuchi waz, uvushe vijana kwenda uzeen
 
Nani huyooo aliyesema anachezewa... Ukiambiwa hivyo, hiyo ni fedheha kubwa saaana!!!! Means uko na....., unajua nachomaanisha
We kadada sijakuelewa una maana gani we kwaihiyo unamaanisha kuwa ni..... We hebu fafanua hapa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom