Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,595
- 2,069
sizitaki mbichi hizi, kesho nitapitapita maana mtembea bure si mkaa bure naweza kuokota.Mipaja yenyewe minyama imekaa kama matuta
sizitaki mbichi hizi, kesho nitapitapita maana mtembea bure si mkaa bure naweza kuokota.Mipaja yenyewe minyama imekaa kama matuta
PussySijaelewa
Kesho niende mjini nikashangae shangae hii miguu sijaiona kitambo
Acha kuvuta majani ya chai yatakuharibu mkuuWakati mwingine dhambi huwa inakuwasha ili uifanye na wakunaji wakukune...
Sio nije kuangalia ya kwakoUnipitie twende
Dudu ya kung'atwa na ile ya kug'atwa.Dudu gani jamani
Dudu ya kung'atwa na ile ya kug'atwa.Dudu gani jamani
Nimeipenda hii.Ndio maana nakwambia umepata mume mpole, wenzio tukitoka ofisini saa kumi na nusu tunahesabiwa muda wa kufika nyumbani kuangalia watoto, kama jam ni kubwa basi saa kumi na moja na nusu uwe nyumbani vinhinevyo kama kuna emergency lazima taarifa inayoeleweka iwepo...halafu pia mi mwenyewe nkiwaza huo muda wa kukaa kUsafishwa kucha na vifaa ambavyo kila mtu anasafishwa navyo, havichemshwi wala haviko katika hali usafi naona bora niwahi nikacheze na wanangu lol
Nayatamani sana haya maisha yakoNdio maana nakwambia umepata mume mpole, wenzio tukitoka ofisini saa kumi na nusu tunahesabiwa muda wa kufika nyumbani kuangalia watoto, kama jam ni kubwa basi saa kumi na moja na nusu uwe nyumbani vinhinevyo kama kuna emergency lazima taarifa inayoeleweka iwepo...halafu pia mi mwenyewe nkiwaza huo muda wa kukaa kUsafishwa kucha na vifaa ambavyo kila mtu anasafishwa navyo, havichemshwi wala haviko katika hali usafi naona bora niwahi nikacheze na wanangu lol
Mwanamke kwenda kusafishwa kucha ni upotevu wa muda na hela..Kwanza kwa nini ushindwe kujisafisha kucha zako na miguu yako mwenyewe, Mwanamke ambae anashindwa kusafisha kucha zake na miguu ni mchafu maana hata papuchi sidhani kama inasafishwa
Mwanamke nunua vufaa vyako usafishe kucha nyumbani kwako na umsafishe mumeo pia eboo
Ila mna waumr wapilr...eti namuaga kabisa mume naenda kusafishwa kucha...hahaha
Hahaha..mkuu hapo makoroboi ni noma...nimepita sana hapo wadada na wamama wanajiachia sana kama wapo sebureni kwao....Habarini wakuu.......
Hivi nyie wadada/ wamama mnaoenda kusafisha kucha mmevaa nguo fupi huwa mnataka nini?.......
Yani nimepita hapa makoroboi kuna mmama mtu mzima tu yani anasafishwa kucha kavaa bonge ya mini ,mapaja yote yako wazi alafu kakaa sehemu ya wazi kila anayepita anamuona ......
Siyo poa! Tubadilike
Hahahasizitaki mbichi hizi, kesho nitapitapita maana mtembea bure si mkaa bure naweza kuokota.