Wadada hii ni kweli?

Wadada hii ni kweli?

Wanaume jamani mnalialia kugharamia. Kama huwezi acha hujalazimishwa.
Yanini unatoa huku unaumia roho?
 
Hello michelle,

Kuhonga na kutoa katika hali ya kawaida in essence tendo ni moja..shift of ownership kutoka kwa mwanamme kwenda kwa mwanamke done by mwanamme. utofauti unakuja kutokana na kwa nini mwanamme katoa.

Mwanamme anapotoa kwa mapenzi yake akiwa na lengo la kumfurahisha mpenzi wake akiwa hana presha hapo katoa kikawaida

Lakini anapotoa aidha kwa shinikizo la kimapenzi kutoka kwa mpenzi wake au anapotoa huku akijua kuwa kutoa ndo kitu pekee kitakachomfanya msichana aendelee kukaa kwake hapo ndo tuna kuja na term "kuhonga"

Asante kwa kufafanua vizuri. Nimekuelewa Capt.
 
Kumbe fb nako wanakuwa na piint ukiacha kuweka yale mapicha kibaoooooo na kuunga picha kwenye srin moja huu ni bonhe na la ujumbe
 
absolutely yes.....co wanataka kula tuuuu vya bure ...vzur vna gharama
 
Wanaume jamani mnalialia kugharamia. Kama huwezi acha hujalazimishwa.
Yanini unatoa huku unaumia roho?

Wa jinsia ya kiume tuna matatizo at tyms.. Umlale mtoto wa watu usimpe hela ya sabuni ajisafishe je ni sawa...!? Ukiwa mbinafsi kaa peke yako acha upimbi ili wenye kujua kugawana walee mademu zenu mbaki mnaitwa shemeji
 
mwamaume lazima uchunwe/uhonge/ugharamikie.............hata wanyama na ndege ni mahayawani but jogoo lazima aite mtetea,,,, akibofyabofya pale anachutama mwenyewe,,, jogoo lajikunja na kujinyoosha shwariii......hatukwepi hili.......
 
mwanaume asiyejielewa ndo anahonga kwenye mahusiano...na we mwanamke ambaye mpaka uhongwe ndo umpende mtu jua kuwa una kajiasili cha kujiuza..
 
Kwa mazingira kama haya dada zetu watatumika kama toileti paper maana wanakosa uwezo wa kuwa na kuwa na maamuzi Katika mahusiano kwa sababu tu akipata kidume anafikiria kuhongwa vitu vya gharama na anaweka akirini mwake kuwa amepata pa kuchuna kuwa na mawazo kama haya ni hasara mbeleni ndo mwisho wa siku wanalalamika hakuna wa kuwaoa kumbe msingi wamejiharibia wenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom