kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 323
Nimeitoa fecebook,
Wakaka acheni ujinga,ukitaka msichana wa peke yako mgharamia nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume,usidanganyike hakuna mwanamke asiyependa kuhongwa,kuna wanawake natural hawawezi kuomba,ila anakua anataka ujiongeze.
Sasa kama wewe niwale ambao akikwambia "baby kifurushi kimekata" unajibu "basi mumy pls ukiwekanicheki" umekwisha,anakueleza shida zakeunasema "mpenzi vumilia nakuombea upate kazi" kaka umeisha,Kwanza ujue ulivokata simu umefatiwa na bonge la msonyo ka sio tusi,yani wewe kama ni wale wa baby mwezi huu mambo yangu hayako sawa,nakuapia unagongewa.
Unamuona msichana wako kasuka,kapendeza na hana kazi umekazana beb umependeza,we ujue mume mwenzio kaweka nguvu,so anapokua anatoa calendar za kukuona tulizana,service inakua kwa anayehudumia.Hakuna msichana wa siku hizi anayetaka kuambiwa nakupenda jumapili mpaka jumapili we mhonge tu uone heshima.
Wakaka acheni ujinga,ukitaka msichana wa peke yako mgharamia nakwambia wanawake asilimia kubwa hukumbuka fadhila za mtu anayemgharamikia kuliko wanaume,usidanganyike hakuna mwanamke asiyependa kuhongwa,kuna wanawake natural hawawezi kuomba,ila anakua anataka ujiongeze.
Sasa kama wewe niwale ambao akikwambia "baby kifurushi kimekata" unajibu "basi mumy pls ukiwekanicheki" umekwisha,anakueleza shida zakeunasema "mpenzi vumilia nakuombea upate kazi" kaka umeisha,Kwanza ujue ulivokata simu umefatiwa na bonge la msonyo ka sio tusi,yani wewe kama ni wale wa baby mwezi huu mambo yangu hayako sawa,nakuapia unagongewa.
Unamuona msichana wako kasuka,kapendeza na hana kazi umekazana beb umependeza,we ujue mume mwenzio kaweka nguvu,so anapokua anatoa calendar za kukuona tulizana,service inakua kwa anayehudumia.Hakuna msichana wa siku hizi anayetaka kuambiwa nakupenda jumapili mpaka jumapili we mhonge tu uone heshima.