Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,093
- 22,806
Naandika hii post kwa hisia nzito kwa watoto wa kike especially ambao wameshapevuka na wamevuka umri wa miaka 18 kama haujafika umri nenda kabadili diapers kwa mama .......
Okay ni hivi......destiny kwa kiswahili ni hatima au mwishoni. Akina dada nawapenda sana hadi kuwaambia maneno haya mazito........dada zangu......mdada unapokuwa unafwatwa na wanaume wengi haimaanishi wote ni wako.......bali unatamaniwa.......kuna mdada hapa mtaanaani alikuwa ni mkali balaa siku za nyuma ila sasa stress za upweke zinamharibu muonekano anakuwa kama mzee na hata akili yake now sidhani kama ipo sawa ingawa ana elimu kiwango cha degree......
Huyu dada alikuwa strict mbaya.....sisemi alikuwa anaringa. Miaka ya nyuma kila aliyekuwa anamtaka alichezea cha mbavu. Alikomaa na shule tu.....akirejea likizo ni ndani muda wote. Sidhani kama huyu dada alikuwa na mtu.....
Miaka ikapita watu tukawa hatumuone tena kitaa......wajanja tukajua tu kuwa goma limebebwa mazima na jinsi alivyokuwa mkali.
Sasa juzi kati nimetimba kitaa kijiweni namuona anapita kamshika mtoto wa kama miaka 9 hivi. Wadau wakanitonya kuwa wanamuona mbona longtime alirudisha majeshi home kwao kwa bi mkubwa......life la ndoa limezingua......akarudi kitaa akazuga miezi michache ghafla akaanza kurudishwa na audi ya mume wa mtu.........mwenye mume aliwafumania huko akagawa dozi kwa bi dada ongezea na mikasa miwili mitatu ya kutoka na njemba tofauti zilizompotezea muda kisha zikamwacha solemba........
Sasa bi dada yupo kitaa tu.......hayupo sawa.......si tena yule ninayemjua uzuri unafifia........mwanzo alikuwa mkimya na haonekani kitaa ila now anaongea huyo kama chiriku.....yupo yupo tuh busy for nothing church kwa sana.......
Nikashika tama nikasema mmmmmmmmmmhmn kweli binadamu tunapanga ila yupo anayeamua hiyo mipango iwe ama isiwe.........usifanye mchezo na destiny.
Okay ni hivi......destiny kwa kiswahili ni hatima au mwishoni. Akina dada nawapenda sana hadi kuwaambia maneno haya mazito........dada zangu......mdada unapokuwa unafwatwa na wanaume wengi haimaanishi wote ni wako.......bali unatamaniwa.......kuna mdada hapa mtaanaani alikuwa ni mkali balaa siku za nyuma ila sasa stress za upweke zinamharibu muonekano anakuwa kama mzee na hata akili yake now sidhani kama ipo sawa ingawa ana elimu kiwango cha degree......
Huyu dada alikuwa strict mbaya.....sisemi alikuwa anaringa. Miaka ya nyuma kila aliyekuwa anamtaka alichezea cha mbavu. Alikomaa na shule tu.....akirejea likizo ni ndani muda wote. Sidhani kama huyu dada alikuwa na mtu.....
Miaka ikapita watu tukawa hatumuone tena kitaa......wajanja tukajua tu kuwa goma limebebwa mazima na jinsi alivyokuwa mkali.
Sasa juzi kati nimetimba kitaa kijiweni namuona anapita kamshika mtoto wa kama miaka 9 hivi. Wadau wakanitonya kuwa wanamuona mbona longtime alirudisha majeshi home kwao kwa bi mkubwa......life la ndoa limezingua......akarudi kitaa akazuga miezi michache ghafla akaanza kurudishwa na audi ya mume wa mtu.........mwenye mume aliwafumania huko akagawa dozi kwa bi dada ongezea na mikasa miwili mitatu ya kutoka na njemba tofauti zilizompotezea muda kisha zikamwacha solemba........
Sasa bi dada yupo kitaa tu.......hayupo sawa.......si tena yule ninayemjua uzuri unafifia........mwanzo alikuwa mkimya na haonekani kitaa ila now anaongea huyo kama chiriku.....yupo yupo tuh busy for nothing church kwa sana.......
Nikashika tama nikasema mmmmmmmmmmhmn kweli binadamu tunapanga ila yupo anayeamua hiyo mipango iwe ama isiwe.........usifanye mchezo na destiny.