Wadada acheni ulevi wa Mapenzi

Dah..km uko Mtwara kesho nko off njoo coco beach hp ule lunch yaani umenigusa sana kuna kitoto nlikuwa nakidekeza khatari rafiki yangu akanambia huu mwendo unapenda nae hyu atakuja kukusumbua mi nkamjibu acha nimuoneshe tu km nampenda akiniona fala c namuacha tu? kweli asee akaanza kujiona hakuna km yeye cwezi kupata mwengine km kantahiri yeye vle mi namchora tu akihitaji hki kapata vingine hata haombi mtoto wa kiume nshajiongeza ah....mwisho yalinishinda asee tukikaa kwa amani cku mbili ya tatu lazma ugomvi tutachuniana cku mbili tatu amani inarudi wiki tunachuniana tena ikabidi ninyoshe mikono juu kimwanamke kijuaji kibishi kama nini hata kikosee hakijui kujishusha nlipanga akimaliza mwezi wa 10 nianze process za ndoa ila mh....hapana wajaribu wenzangu am sure akimaliza uschana atajua mimi nlikuwa nani kwake vijana wa mjini nawajua michezo yao yangu macho tu!
 
Ukitaka kuzifahamu akili za wanawake utadata mkuu.

Cha muhimu fuata ushauri wa Biblia kuwa "ishi nao kwa akili" ( watoto wa mjini wanasema jiongeze)

Kweli kabisa biblia ilikuwa inaongelea wanwake wa zamani kama wakina Delira, Ahabu, Ester, Eva, Bikra Mariam, Sara ndo unaweza kutumia akili kuishi nao lakini hawa wenzetu wa kisasa inapaswa uwe kidogo zimekufyatuka kichwani ndo unaweza kuish nao. Akili hazitumiki kwa wanawake wa kipindi hiki
 
ndo maana mnaambiwa pesa c kila kitu jiongezeni unampa hela kwa masimango
na unasubiri akuombe hapo bado hujalalamika
hujipendi uko rough
una lugha mbovu / command nyingi
mdada akifikiria uyu ndo future husband uwiii bora amute tu
 
Mapenzi upenzini digital
 
Akili za wanawake wanazijua wenyewe ,ukifatilia sana utakufa na presha bure.
 
Sio kwa povu hili hehehehehrhe
 
wakishafikisha miaka 30 ndo flashback zinaanza, ukiangalia wale waliokupenda ukawaletea mapicha picha ya kihindi tayali wameshaoa na kuwa na familia za furaha hawana muda tena na wewe . Ndo safari za ubungo kibangu kwa mzee wa upako ili akuondolee mikosi haziishi. Ndo unahama makanisa kila siku kama Bashite kaambiwa alete vyeti.We unamhitaji Diamond wakati level zako ni Harmorapa, mwisho hata Huyo Harmorapa unamkosa kwa Sababu ya ma fantasy yako yandoto
 
Reactions: wax
Umemalizia kwa hasira, pole sana.

Thamani ya mtu huonekana akishaondoka,tujifunze kuthamini vile tulivyoavyo.
 
Reactions: wax

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…