nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,692
- 14,079
Kuna tabia imezuka ya kuwaambia waumini "Hebu mgeukie jirani yako mwambie..........blah bla blah''
Hii ni kero!! manake aliye jirani yako huwezi jua yuko kwenye mood gani. Waumini wengi hugeukiana na kuambiana hizo blah blah kinafki.(haitoki moyoni) Kitu ambacho kinakomaza unafiki makanisani.
Kingine ni baada ya mchungaji ku kaukiwa point husema ''halooo'' na waumini wanaitikia ''haloooo'' Hii ni tabia ya ''kihuni'' haiendani na mafundisho ya kuongoza watu kwenda mbinguni.
Leo naishia hapa next week nitawajuza kingine.
Hii ni kero!! manake aliye jirani yako huwezi jua yuko kwenye mood gani. Waumini wengi hugeukiana na kuambiana hizo blah blah kinafki.(haitoki moyoni) Kitu ambacho kinakomaza unafiki makanisani.
Kingine ni baada ya mchungaji ku kaukiwa point husema ''halooo'' na waumini wanaitikia ''haloooo'' Hii ni tabia ya ''kihuni'' haiendani na mafundisho ya kuongoza watu kwenda mbinguni.
Leo naishia hapa next week nitawajuza kingine.