KAHAMA MANISPAA
Member
- Jul 20, 2015
- 15
- 15
Baadhi ya vihelehele wa CHADEMA waliogeuza chama kuwa mali yao wamekuwa wakisikika mtaani wakiropoka hovyo bila tija ya kwamba,"hawawezi kumpa ruksa Lembeli kugombea jimbo la Kahama Mjini kwa tiketi ya CHADEMA eti kwa sababu hakupigania chama.
Hivyo tunashauri chama uongozi wa juu waje Kahama ama watume watu kufuatilia suala hili.
Kuna watu wanasema eti wamemwaga fedha zao hapa.
Hivyo tunashauri chama uongozi wa juu waje Kahama ama watume watu kufuatilia suala hili.
Kuna watu wanasema eti wamemwaga fedha zao hapa.