nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.
mtazamaji kwa lugha rahisi kabisa mfumuko wa bei ni ile hali ya bei za bidhaa kupanda bila kupungua kwa muda mrefu(the ersistance increase of the price of diferent comodities)
hapa bongo mfumuko wa bei umefikia asilimia 12 kama sijakosea.
kuna namna ya kupata asilimia hizo kwa njia ya kimahesabu labda kama utakuwa interested useme wadau washuke mambo.lakini njia mojawappo kubwa ni kwa kutumia price index
nianze kwa kuwapongeza wachumi wenzangu kwa kuelimika sana maana siku hizi unapoingia kwenye forum hii ya wachumi kweli unakuta thread za kichumi na hata mawazo watu wanayochangia ni kichumi zaidi tofauti na zamani ambapo watu walitoa michango pumba tupu na kuweka thread zisizoendana na uchumi.