anti-fisadi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 368
- 31
takribani wiki sasa imekuwa ikionekana ndege zikishuka na wachina lukuki na airport kujaa kama vile tupo beijing!!
kulikoni jamani?? ndege aina ya boeng imejaa wachina zaidi ya mia mbili kama wanavoonekana pichani hapo ni vipi? je wamekuja kwa visa ipi? utalii? kazi?
Hivi sasa sie kupata vibali vya kiabiashara kwenda china imekuwa ngumu sana, kwa taratibu walizoweka nchini mwao; wanataka waje wajenge viwanda kurasini kule ili sie tusiende kwao. Sasa ndio hivi wanakuja kuchukua ajira zetu?? vijana wa kitanzania waendelee kukaa vijiweni?
kwanini na sie tusiweke mazingira magumu wao kuingia nchini kufanya kazi ama biashara? au nani anafaidika nao??
nawasilisha