Rihana
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 498
- 250
Kumekuwa na matamko mbali mbali yakikemea raia kutoka china wasijihusishe na kufanya biashara ndogo ndogo, hivi kufanya biashara ndogongodo ukiwa raia wa nche ni kosa kwa mujibu wa sheria gani. Ninavyofahamu mimi Fair competition Act ya 2003 inazuia uingizaji wa bidhaa zisizofikia kiwango lakini sheria hii haielezi kwamba kuwa raia wa nje haruhusiwi kufanya biashara nchini. Kuna kisingizio kingine kwamba wachina wanaingia nchini kwa kisingizio cha 'investors' only to find them hawking lakini kwa mujibu wa TIC ACT investors ni wale wenye mtaji kuanzia dola 100,000. Je wachina kuja nchini kufanya biashara wamevunja sheria gani?