Wachina kwa Magwalide hawajambo sana!!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
Gwaride la kijeshi la Beijing laanza na mizinga kurushwa kuadhimisha miaka 80 ya ushindi wa China dhidi ya Japan katika Vita vya Pili vya Dunia.

Your browser is not able to display this video.
 

Attachments

  • 1756885307674.mp4
    2.8 MB
  • 1756885246292.mp4
    1.1 MB
Utafikiri ni kiwanda machine au mitambo ipo on inafanya kazi
 
Nnachowakubali hawa washkaji hizi kazi hawapeani na ni uzalendo kwa kwenda mbele ! Halafu wamejikita zaidi kwenye weredi na akili ya mtu angalia hapo madogo ndo wanagonga mzigo miaka 20- 23 hapo unakuta ni Maafisa tupu hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…