Wachimbaji wadogo wadogo wafukiwa na Kifusi Chunya, Mbeya

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
6,067
10,936
2.jpg

TingaTinga likiwa katika harakati za uokoaji

Wachimbaji kadhaa wamefukiwa na kifusi katika kijiji cha Sangambi wilaya ya Chunya mkoani Mbeya, hivi sasa juhudi za kuokoa uhai wao zinaendelea muda huu.
 
Last edited by a moderator:
Unatisha kwa habari za matukio ya dizaini hii, utafikiri unaubia na Jerusaremu.
 
Back
Top Bottom