Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 4,218
- 5,888
Kisima cha mita 130 unataka kusambaza maji mji mzima wa bagamoyo? Kisima cha futi 240 sawa na 80 inatosha hata kwa kumwagilia130*250000=32,50000 duh nimepiga kwa mita 130 kwa eneo la pwani kuchimba ndo bei iyo mh ww kweli ni dalali siyo kwa pesa iyo maana pesa ya kuchimba kisima inapita mpaka thamani ya nyumba
Kwa galama zake huyu jamaa bado ipo juu sana ukipiga hata iyo mita 80 bado inasona million 20Kisima cha mita 130 unataka kusambaza maji mji mzima wa bagamoyo? Kisima cha futi 240 sawa na 80 inatosha hata kwa kumwagilia
Yap ipo juu sana.Kwa galama zake huyu jamaa bado ipo juu sana ukipiga hata iyo mita 80 bado inasona million 20
Haa Pesa Za Kukopa Banks130*250000=32,50000 duh nimepiga kwa mita 130 kwa eneo la pwani kuchimba ndo bei iyo mh ww kweli ni dalali siyo kwa pesa iyo maana pesa ya kuchimba kisima inapita mpaka thamani ya nyumba
Nilichimba Kisima Mita 100 Gharama Ilikuwa Ya Kijumbe TuKwa galama zake huyu jamaa bado ipo juu sana ukipiga hata iyo mita 80 bado inasona million 20
Ulichimba kwa shingapNilichimba Kisima Mita 100 Gharama Ilikuwa Ya Kijumbe Tu
Yaani Unapewa Darasa Mpaka Mchimbaji Unamwelewa
Mita Tshs 50000/= pia Ikiwa Kuna Mwamba Bomba Haziwekwi Mpaka ChiniUlichimba kwa shingap
Iyo affordable kabisa kwa mtanzania ni rahisi kumudu kwa mita 50kMita Tshs 50000/= pia Ikiwa Kuna Mwamba Bomba Haziwekwi Mpaka Chini
Gharama Zote Mpaka Maji Yanatoka Sasa Mwaka Wa 3 Majira Yote Ilikuwa Millions 5
Unaweza kutuambia vigezo ulivyotumia kupanga hizo bei? Hivi kuna baadhi.ya mikoa jiografia ya wilaya na wilaya zinatofautiana sana
kawaida mkuu DDCA wanapima kwa 2,000,000 angalia kwenye tovuti zao au angalia Wami BasinMara survey kilo 9🤭
mkuu visima kama vingelikuwa rahisi basi mimi mwenyewe binafsi ningeliwachimbia ndugu zangu wote 😂😂😂130*250000=32,50000 duh nimepiga kwa mita 130 kwa eneo la pwani kuchimba ndo bei iyo mh ww kweli ni dalali siyo kwa pesa iyo maana pesa ya kuchimba kisima inapita mpaka thamani ya nyumba
50,000 kwa mita unaweza chimba Dar maana formation za Dar ni Mud rotary na sio DTHMita Tshs 50000/= pia Ikiwa Kuna Mwamba Bomba Haziwekwi Mpaka Chini
Gharama Zote Mpaka Maji Yanatoka Sasa Mwaka Wa 3 Majira Yote Ilikuwa Millions 5
mkoa wa pwani mita moja 70,000 na survey ya maji ni 250,000Eneo la mlandizi kwa mita shingap maana ni mchanga eneo lake
mkoa wa pwani mita moja 70,000 na survey ya maji ni 250,000
zipo mkuu chini 0762484200Mkuu mbona sijaona namba yako popote?
Weka mawasiliano
Hongera ndugu,kama kweli unachimba na kupata maji bei zako ni nzuri,hivyo endelea kupiga kazi.Tunachimba visima virefu na vifupi mikoa yote:
ZIFUATAZO NI GHARAMA ZA UCHIMBAJI KILA MKOA
Dodoma -mita moja tunachimba 80,000 na survey tunafanya kwa 400,000
Arusha-mita moja tunachimba 120,000 na survey tunafanya kwa 600,000
Kilimaniaro-mita moja tunachimba 130,000 na survey tunafanya kwa 600,000
Tanga-mita moja tunachimba 80,000 na survey tunafanya kwa 400,000
Morogoro-mita moja tunachimba 80,000,na survey tunafanya kwa 350,000
Pwani-mita moja tunachimba 70,000 na survey tunafanya kwa 250,000
Dares Salaam-mita moja tunachimba 65,000,na survey tunafanya kwa 250,000
Lindi-mita moja tunachimba 100,000,na survey tunafanya kwa 400,000
Mtwara-mita moja tunachimba 100,000,na survey tunafanya kwa 400,000
Iringa-mita moja tunachimba 120,000,na survey tunafanya kwa 400,000
Mbeya-mita moja tunachimba 140,000,na survey tunafanya kwa 600,000
Singida-mita moja tunachimba 100,000,na survey tunafanya kwa 500,000
Tabora-mita moja tunachimba 100,000,na survey tunafanya kwa 600,000
Rukwa-mita moja tunachimba 150,000,na survey tunafanya kwa 700,000
Kigoma-mita moja tunachimba 150,000,na survey tunafanya kwa 900,000
Shinyanga-mita moja tunachimba 120,000,na survey tunafanya kwa 600,000
Kagera-mita moja tunachimba 150,000,na survey tunafanya kwa 900,000
Mwanza-mita moja tunachimba 120,000,na survey tunafanya kwa 650,000
Mara-mita moja tunachimba 140,000,na survey tunafanya kwa 900,000
Manyara-mita moja tunachimba 130,000,na survey tunafanya kwa 650,000
Njombe- mita moja tunachimba 120,000,na survey tunafanya kwa 500,000
Katavi-mita moja tunachimba 150,000,na survey tunafanya kwa 800,000
Simiyu-mita moja tunachimba 140,000,na survey tunafanya kwa 650,000
Geita -mita moja tunachimba 120,000,na survey tunafanya kwa 650,000
Ruvuma- tunachimba kwa 140,000 kwa mita na survey tunafanya kwa 700,000
View attachment 3411010
View attachment 3411011
Mkuu inategemea sehemu na sehemu,Kisima cha mita 130 unataka kusambaza maji mji mzima wa bagamoyo? Kisima cha futi 240 sawa na 80 inatosha hata kwa kumwagilia
1.Hivi mud rotary kwa mkoani aiwezekani50,000 kwa mita unaweza chimba Dar maana formation za Dar ni Mud rotary na sio DTH