Nataka kuchimba kisima cha maji kwa matumizi binafsi wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, mwenyekujua kampuni au watu wanaojishughulisha na kazi hizo mkoani Mbeya.
Nataka kuchimba kisima cha maji kwa matumizi binafsi wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, mwenyekujua kampuni au watu wanaojishughulisha na kazi hizo mkoani Mbeya.