Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
mkuu GENTAMYCINE endelea kutujuza nyetiJana kapigwa na Simon Msuva halafu wakiwa ndani Deus Kaseke nae akamtukana na ilibidi Mohamed Binda aingilie kati kuwatuliza Vijana wake. Na kama hiyo haitoshi kwakuwa umechokoza na sasa nakupa NYETI nyingine ni kwamba jana hiyo hiyo pia Kocha wa Yanga Lwandamina aligombana na hadi kurushiana maneno ya Kocha wa Makipa wa Yanga Juma Pondamali ' Mensah ' kwakuwa Kocha alichukizwa sana goli alilofungwa Deogratius Munishi ' Dida ' na kwamba Kocha anavutiwa sana na Kipa Ben Kakolanyi na Ally Mustafa ' Barthez ' ila Kocha huyo wa Makipa wa Yanga Pondamali ana BIFU lisiloisha na Ally Mustafa ' Barthez '. Nimalizie tu kwa kukuambia muda wowote Kocha wa Makipa wa Yanga Juma Pondamali ' Mensah ' anafungashiwa virago vyake kwani Lwandamina amechukizwa nae kwa mabishano yao ya jana.