Kiberiti Kidogo
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 575
- 915
Ningependa kushea maoni na wapenda soka wenzangu kuhusu mada tajwa hapo juu. Binafsi ni mpenzi na shabiki damu wa Manchester United. Naomani kabisa Romelu Lukaku, Marcus Rashford, Ander Herera, Juan Mata Garcia, Anton Martial, Luke Shaw watakuwa mwiba mkali sana pale ligi zikianza. Wewe je unawatabiria kina nani katika timu yako kuwika?!?