WACHAGA WAAIBIKA LEO Tbc

WACHAGA WAAIBIKA LEO Tbc

Status
Not open for further replies.

Hute

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,537
Reaction score
6,479
kwa walioangalia tbc1 leo, yaani ilikuwa aibu. wachaga wanaokataa kila siku kuwa mwisho wa mwaka huwa wanaenda kutambika, leo tbc1 imeonyesha wakiwahoji walioko kule wakila kisusio, na wakisema wazi kuwa usipoenda kwenye matambiko matatizo yatakupata. wanasema wamekuwa na desturi hiyo miaka yote na hawawezi kuacha. kwa walioangalia tbc leo ilikuwa aibu jamani. kumbe huwa wanaenda kutambika na usipotambika kula ivyo visusio wanasema hata ukishika hela haikai. haya sasa. kwa wale waandishi wa habari au watu waliorekodi wakati tv inaongea naombeni muweke ile clip hapa ili shetani wa mamizimu aaibike.
 
wewe wendawazimu umeolewa na wachagga .
 
kwa walioangalia tbc1 leo, yaani ilikuwa aibu. wachaga wanaokataa kila siku kuwa mwisho wa mwaka huwa wanaenda kutambika, leo tbc1 imeonyesha wakiwahoji walioko kule wakila kisusio, na wakisema wazi kuwa usipoenda kwenye matambiko matatizo yatakupata. wanasema wamekuwa na desturi hiyo miaka yote na hawawezi kuacha. kwa walioangalia tbc leo ilikuwa aibu jamani. kumbe huwa wanaenda kutambika na usipotambika kula ivyo visusio wanasema hata ukishika hela haikai. haya sasa. kwa wale waandishi wa habari au watu waliorekodi wakati tv inaongea naombeni muweke ile clip hapa ili shetani wa mamizimu aaibike.

bangi ni mbaya sana hueleweki umeandika nini
 
kwa walioangalia tbc1 leo, yaani ilikuwa aibu. wachaga wanaokataa kila siku kuwa mwisho wa mwaka huwa wanaenda kutambika, leo tbc1 imeonyesha wakiwahoji walioko kule wakila kisusio, na wakisema wazi kuwa usipoenda kwenye matambiko matatizo yatakupata. wanasema wamekuwa na desturi hiyo miaka yote na hawawezi kuacha. kwa walioangalia tbc leo ilikuwa aibu jamani. kumbe huwa wanaenda kutambika na usipotambika kula ivyo visusio wanasema hata ukishika hela haikai. haya sasa. kwa wale waandishi wa habari au watu waliorekodi wakati tv inaongea naombeni muweke ile clip hapa ili shetani wa mamizimu aaibike.
Kakojoe ukalale!
 
wewe wendawazimu umeolewa na wachagga .

bangi ni mbaya sana hueleweki umeandika nini

Kakojoe ukalale!
siku zote ukweli unauma. Grace kingarame alikuwa anasoma taarifa ya habari sasaivi, wote mnaokataa kuwa hamuendi kwenye matambiko mmeaibika kwisha habari yenu. wamewaonyesha wenzenu walio volunteer kusema ukweli wakiwa migombani huko wanakula kisusio na mbege...hahahaha
 
kwenye marudio ya taarifa ya habari nitarecord iyo eneo la clip na nitaliweka youtube na kukopy hapa ili ubishane na kivuli chako.
 
siku zote ukweli unauma. Grace kingarame alikuwa anasoma taarifa ya habari sasaivi, wote mnaokataa kuwa hamuendi kwenye matambiko mmeaibika kwisha habari yenu. wamewaonyesha wenzenu walio volunteer kusema ukweli wakiwa migombani huko wanakula kisusio na mbege...hahahaha

una mawazo mgando sana
 
Asa aibu iko wapi mbona hizi dini zimekuja juzi tu na saivi kuna hadi maaskofu mashoga sasa unashangaa nn kutambika wanaoliwa tigo huoni tatizo

nikiona comment zako nasikia kinyaa
 
kwa walioangalia tbc1 leo, yaani ilikuwa aibu. wachaga wanaokataa kila siku kuwa mwisho wa mwaka huwa wanaenda kutambika, leo tbc1 imeonyesha wakiwahoji walioko kule wakila kisusio, na wakisema wazi kuwa usipoenda kwenye matambiko matatizo yatakupata. wanasema wamekuwa na desturi hiyo miaka yote na hawawezi kuacha. kwa walioangalia tbc leo ilikuwa aibu jamani. kumbe huwa wanaenda kutambika na usipotambika kula ivyo visusio wanasema hata ukishika hela haikai. haya sasa. kwa wale waandishi wa habari au watu waliorekodi wakati tv inaongea naombeni muweke ile clip hapa ili shetani wa mamizimu aaibike.

Una hangover za viroba wewe
 
mtasema mengi sana ;mtaongea sana lakini sisi ndo tumeweka mjini wapumbavu nyie
msamehe bure huyo mtu wa nyika hana tofauti na mkapa aliyekimbia kwao na kuhamia lushoto!kijijini kwao kuna umasikini wa kutisha, kafika dar hawezi tazama tena nyuma kijijini,huoni hata nape kapashiti iramba nduguti kakimbilia mtama lindi
 
Kiroho safi tu mbona? Kabila lenu wenyewe hakuna jambo mnalotaka kufanya bila kwenda kwa mganga. Nyie si ndio wale mkienda sehemu kama ukijikwaa mguu wa kushoto unapiga simu kijijini kuulizia inaashiria nini?
 
Wachagga wako juu kweli,, kila siku hapa JF ni threads za wachagga tu,,, kweli wachagga nimewakubali,, mko juu sanaaa!!
 
wenzio wanaenda kutambika ...wewe unaenda wanga au ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom