Hujatoa ushauri wafanyie wapi VikaoNdugu zetu wachaga hivi suala la kuweka vikao vya misiba bar mtaacha lini?
Hivi hamuwezi kutafuta sehemu tulivu na yenye staha zaidi ya kuja bar kuongelea suala nyeti kama la msiba?
Imagine leo nimetoka kwenye mishughuliko yangu nikasema ngoja nikae bar hapa nipate moja moto moja baridi nakuta watu wameweka kikao cha msiba aisee wamenikata na stimu kabisa nimesepa zangu.
Hivi hamuoni kwamba kuna watu wenye weledi watakuwa wanakwepa hivyo vikao kutokana na imani zao na kuogopa kuingia majaribuni?
Nashauri wachaga mbadilike bar ni sehemu ya starehe sio sehemu sahihi kwa ajili ya vikao vya misiba.
Umekaa kabisa ukaanza ku compose post ya kupost jf, post yenyewe unaeaongelea wachagaπ€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€π€Ndugu zetu wachaga hivi suala la kuweka vikao vya misiba bar mtaacha lini?
Hivi hamuwezi kutafuta sehemu tulivu na yenye staha zaidi ya kuja bar kuongelea suala nyeti kama la msiba?
Imagine leo nimetoka kwenye mishughuliko yangu nikasema ngoja nikae bar hapa nipate moja moto moja baridi nakuta watu wameweka kikao cha msiba aisee wamenikata na stimu kabisa nimesepa zangu.
Hivi hamuoni kwamba kuna watu wenye weledi watakuwa wanakwepa hivyo vikao kutokana na imani zao na kuogopa kuingia majaribuni?
Nashauri wachaga mbadilike bar ni sehemu ya starehe sio sehemu sahihi kwa ajili ya vikao vya misiba.
Nyumbani kwao hukoHujatoa ushauri wafanyie wapi Vikao
Sio hospital zote zina hiyo sehemuWachaga wengi ni bakhili,,
Kuweka vikao vya msiba bar,,ni kutafuta mteremko kwa mfiwa.
-- ukiweka msiba bar,,nyumbani hakupikwi.
-- kukwepa gharama za mazishi na hata gharama za kukodi viti na turubai.
Siku hizi wamekwenda mbali zaidi,,hata kuaga mwili ni hospital,, baadae huko huko hospital wanaanza safari ya kishimundu.
Roho mbaya tu imekujaaa mkuu usitafute mchawi.
kama nyumba haina eneo la kutosha kuweka watu wafanya mipango yao? Mkuu kuwa makini kama kweli uko kwenye jiji la Dar pilika pilika za kila siku za maisha una zijuwa, kitendo cha kwenda kuweka msiba kichochoroni kwenye nyumba za kupanga, garama za chakula, chai , viti, mziki, torubali ana beba nani? hapo hujaweka jeneza, sanda, usafiri bill za hospital. Huko nyumbani vyombo, viti na maturubali ya watu bado vilindwe hizo garama za nini zote? hiyo hela bora ibaki kwenye familia iwasaidie mambo mengine. tusipende fanya vitu kwa kukariri maisha yana badilika mambo ya kuweka misiba nyumba siku tatu ni huko vijijini hapa mjini ni kazi tu
Roho mbaya kwa kuwambia wasifanye vikao vya msiba bar ? Are u serious bro?Roho mbaya tu imekujaaa mkuu usitafute mchawi.
Swala ni kwamba kitu kama msiba kipo emotional sana sasa unakuwa na ujasiri gani kwenda kufanyia kikao sehemu yenye anasa kama bar?kama nyumba haina eneo la kutosha kuweka watu wafanya mipango yao? Mkuu kuwa makini kama kweli uko kwenye jiji la Dar pilika pilika za kila siku za maisha una zijuwa, kitendo cha kwenda kuweka msiba kichochoroni kwenye nyumba za kupanga, garama za chakula, chai , viti, mziki, torubali ana beba nani? hapo hujaweka jeneza, sanda, usafiri bill za hospital. Huko nyumbani vyombo, viti na maturubali ya watu bado vilindwe hizo garama za nini zote? hiyo hela bora ibaki kwenye familia iwasaidie mambo mengine. tusipende fanya vitu kwa kukariri maisha yana badilika mambo ya kuweka misiba nyumba siku tatu ni huko vijijini hapa mjini ni kazi tu
Acha kuwasingizia watuNa nyie wasukuma muache kuweka vikao vyenu kwenye mazizi ya mifugo
π€£Unataka waje kufanyia vikao nyumbani kwenu?
Tatizo hawawezi kuongea bila kunywa pombeNdugu zetu wachaga hivi suala la kuweka vikao vya misiba bar mtaacha lini?
Hivi hamuwezi kutafuta sehemu tulivu na yenye staha zaidi ya kuja bar kuongelea suala nyeti kama la msiba?
Imagine leo nimetoka kwenye mishughuliko yangu nikasema ngoja nikae bar hapa nipate moja moto moja baridi nakuta watu wameweka kikao cha msiba aisee wamenikata na stimu kabisa nimesepa zangu.
Hivi hamuoni kwamba kuna watu wenye weledi watakuwa wanakwepa hivyo vikao kutokana na imani zao na kuogopa kuingia majaribuni?
Nashauri wachaga mbadilike bar ni sehemu ya starehe sio sehemu sahihi kwa ajili ya vikao vya misiba.
Ni ushamba sasa huoTatizo hawawezi kuongea bila kunywa pombe
Wakafanyie kwao kwani hawana makwao wanatukata stimu kuja bar kuongelea majeneza
Yeye anawafokea tu badala ya kuwapa suluhisho/mbadala
ππππWachaga wengi ni bakhili,,
Kuweka vikao vya msiba bar,,ni kutafuta mteremko kwa mfiwa.
-- ukiweka msiba bar,,nyumbani hakupikwi.
-- kukwepa gharama za mazishi na hata gharama za kukodi viti na turubai.
Siku hizi wamekwenda mbali zaidi,,hata kuaga mwili ni hospital,, baadae huko huko hospital wanaanza safari ya kishimundu.