baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 230
- 347
Wale wadau wasoka hapa bongo watakuwa wapo makini kufuatilia matokeo ya michezo ya Leo ya timu za Simba na yanga
Huku simba ikiwa ugenini kusaka point adimu na za muhimu wakati kule atakuwa yanga kusaka point muhimu kabsa ili kutetea uhai wake kundini
Japo michezo yote inaonekana migumu kutokana na timu wanazokutanazo ila hazinabudi kupambana kiume ili kijijengea heshima na umaarufu afrika
Mitaa ya jangwani na msimbazi mvua inanyesha wacha tuone panapovuja!!
Huku simba ikiwa ugenini kusaka point adimu na za muhimu wakati kule atakuwa yanga kusaka point muhimu kabsa ili kutetea uhai wake kundini
Japo michezo yote inaonekana migumu kutokana na timu wanazokutanazo ila hazinabudi kupambana kiume ili kijijengea heshima na umaarufu afrika
Mitaa ya jangwani na msimbazi mvua inanyesha wacha tuone panapovuja!!