johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,731
Namani mziki wetu uendee mbele zaidi lakini tuwe na identity tofauti tofauti,
Sisi tunawajua lakini huko mnakokumbilia hamjulikani
Sasa badala ya kujitambulisha identity yako ujulikane nyie manaanza tena kuigana igana
Mara sauti
Mara melody
Mara mashairi
Mara mavazi
Mara hairstyle
Sasa kipi ni kipi? unafikiri hata hzo shows mnazozitaka za nje watawaiteni wote ikiwa mnaigana? hata kama mm ni promOta nitEndelea kumuitA huyo mnaemuiga maana ndo role modal wenu
Yanini niwapeleka makafanye show ikiwa manafanana kila kitu? gharama zote za nini.....
Leo hii kuna salome nne kisa tu fulani aliimba akapata headline mmeamua woootee mchambue karanga dah,!
leo hii kila mtu anajifanya anamjua sana saida wakati nyimbo Ipo tangu hamjaanza kuimba kama uliku inspire kwann leo ndo unaufanyia remix au kwakuwa fulani ameimba? kwa style hyo mtampita mafanikio yake, ikiwa still mpo nyuma yake hamtaki hata kumzidi ncha moja ktk safari hamna tofauti na bata na vifaranga wake,,
Go on kiba tupo nyuma yako wanakupiga vita ila watakupigia magoti siku wakijua utuuzima dawa
Sisi tunawajua lakini huko mnakokumbilia hamjulikani
Sasa badala ya kujitambulisha identity yako ujulikane nyie manaanza tena kuigana igana
Mara sauti
Mara melody
Mara mashairi
Mara mavazi
Mara hairstyle
Sasa kipi ni kipi? unafikiri hata hzo shows mnazozitaka za nje watawaiteni wote ikiwa mnaigana? hata kama mm ni promOta nitEndelea kumuitA huyo mnaemuiga maana ndo role modal wenu
Yanini niwapeleka makafanye show ikiwa manafanana kila kitu? gharama zote za nini.....
Leo hii kuna salome nne kisa tu fulani aliimba akapata headline mmeamua woootee mchambue karanga dah,!
leo hii kila mtu anajifanya anamjua sana saida wakati nyimbo Ipo tangu hamjaanza kuimba kama uliku inspire kwann leo ndo unaufanyia remix au kwakuwa fulani ameimba? kwa style hyo mtampita mafanikio yake, ikiwa still mpo nyuma yake hamtaki hata kumzidi ncha moja ktk safari hamna tofauti na bata na vifaranga wake,,
Go on kiba tupo nyuma yako wanakupiga vita ila watakupigia magoti siku wakijua utuuzima dawa