KIBOGOYO2010
Member
- Jan 25, 2012
- 5
- 12
kwa hali ya kawaida haingii akilini kujadili mkataba wa vijana bungeni wakati vijana wenyewe wanakufa kwa sababu ya migomo wa wafanyakazi wa secta ya afya, wabunge msifungwe macho na spika kesho msikubali kujadili chochote bila kujua mstakabali wa wapiga kura wenu. uuuuuuuuuuuwwweeeeeeeeeee tunakufaaaaaaaaaaaaa