thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Hawa jamaa ni m...bwa koko kweliNdugai...Tulia..
sasa ni Zungu!
Hawa jamaa wa Chadema wameishiwa hoja sana
Hawa jamaa ni m...bwa koko kweliNdugai...Tulia..
sasa ni Zungu!
Hawa jamaa wa Chadema wameishiwa hoja sana
usiweke akili kwenye tumbo ukaacha kichwa chako kiwe mzigo mtupu kwa miguuKazi gani?kutoka bungeni kwani mmeanza leo?
Nendeni mkakarabati ofisi tushawachokausiweke akili kwenye tumbo ukaacha kichwa chako kiwe mzigo mtupu kwa miguu
ile 1.5 trilion mesharudisha?Nendeni mkakarabati ofisi tushawachoka
Lema jizi la magari kongwe ,muulize Zombemsiwewe seke niwakati sasa wakuwavua nguo niwakati sasa upepo unavuma unapiga nyeti za kuku jiandaeni kubaki uchi wasiojulikana wamepata dawa yao
Sasa wanakusaidia nini mpaka kutoka ulipotoka kuja kuchangia? Si ungebaki tu kulinda upuuzi wakoKazi gani?kutoka bungeni kwani mmeanza leo?
Mara yafunge midomo na plaster kama mtoto vile sijui yalichaguliwaje, ngoja wamalize MIKOPO ya mashangingi wakafanye biashara nyinginewasingekuwa na impact usingekimbilia kwenye thread hii
mahakamani kesi yake ilikuwa number ngapi?Lema jizi la magari kongwe ,muulize Zombe
nikama ccm na wizi na ufisadi nikama nzi na kinyesiWabunge wa upinzani kutoka bungeni wala sio habari siku hizi tushawazoea
wwe ndio unahoja leo wazungu wamekuwa wa kulambwa miguu kesho ukiulizwa zilipo 1.5 trilion uabana pua na kuwaita mabeberu? punguani?Ndugai...Tulia..
sasa ni Zungu!
Hawa jamaa wa Chadema wameishiwa hoja sana
Kiki ya kutoka nje ya bunge ishabumaga kitambonikama ccm na wizi na ufisadi nikama nzi na kinyesi
ujumbe ulifikaMara yafunge midomo na plaster kama mtoto vile sijui yalichaguliwaje, ngoja wamalize MIKOPO ya mashangingi wakafanye biashara nyingine
Muulize mbowe pekeyake karamba 7bile 1.5 trilion mesharudisha?
je na kiki yakuiba trilioni 1.5 na kufanya maigizo naona meanza kwenda kwenye majimbo yawapinzani nakutaka wapande majukwani wawafute machoziKiki ya kutoka nje ya bunge ishabumaga kitambo
Ni vema akawasilisha hilo jina bungeni ili msije mshtaki! Kwa maana hamchelewi kumgeuzia kibao!!Lakini watu wengine wazushi sana, sasa Polisi ipo, tena kwa Lema ndio anapajuwa vizuri, awakilishe kwa maandishi, akiwa na na wakili wake, kama shahidi, ila sababu ya kutafuta kiki na watu waonekane wabaya anaamuwa kuwakilisha ushahidi bungeni?! Inaingia kweli akilini?!