Wabunge waliobwagwa wapo Dodoma

Wabunge waliobwagwa wapo Dodoma

Hapo usipoangalia vizuri yatachakachuliwa tu
 
Waanzishe chama chao chao kitakacho itwa Wabunge Waliobwaga
 
Baada ya kuangukia pua wengine bado wana ndoto ya kuteuliwa kwa gharama yeyote. Pengine wapo dodoma ili wajumbe wa CC na NEC ya CCM wakiwaona watawaonea huruma baada ya kufilisika kwa kuhonga bila mafanikio ya kuchaguliwa.
 
Chakachua bado inaendelea!!!......Time bomb:faint:
 
Baada ya kuangukia pua wengine bado wana ndoto ya kuteuliwa kwa gharama yeyote. Pengine wapo dodoma ili wajumbe wa CC na NEC ya CCM wakiwaona watawaonea huruma baada ya kufilisika kwa kuhonga bila mafanikio ya kuchaguliwa.
.

Nasikia ata walioshinda nao wako dodoma kuhakikisha majina yao hayapigwi panga.
 
Back
Top Bottom