Wabunge wagombea Tsh milioni 1

Wabunge wagombea Tsh milioni 1

hii habari imeandikwa na mwandishi asie na upeo
kwanza habari haiko balanaced
hana uthibitisho wa kupatiwa hizo hela
hajaongea na mtuhumiwa ili kujua undani wa hili sakata
mwandishi kakurupuka kuandika bila uthibitisho wowote.
mandishi makini lazima ubalance habari ndipo uichape..
simtetei wenje ila naonya waandishi njaa wanaotumika kichafua wengine.
wahariri wa magazeti kuweni makini na habari mnazohariri mnaharibu tasnia ya habari
 
Anauza madawa ya kulevya na vile vile bado anaendesha ujambazii!

Lakairo, kijana aliyeanzia kwenye bihashara ya magendo ya kuuza Ngozi, aka advance akaingia kwenye ujambazi wa kupora mifugo, akaingia kwenye bihashara na sasa anamiliki Hoteli pale mwanza mjini, Mungu akumsahau akamfanya Mbunge!
Hahaaaaaa, Mbunge anayejua kubamiza meza za Bungeni tu-mdomoni wamemshonea fuko lenye zipu...hahaaaaa!

kuna mpambe wake humu JF..ajitokeze atueleze kwa nini Don Lakairo ametangaza kutokurudia kutetea kiti chake hata kabla hajatimiza nusu ya muda wa kuwatumikia wanaRorya??? anakimbia nini? ameona nini?? Cheza na wazee wa Green Guard-tutalala hotelini kwako na kula Bureeee!🙂
 
Kama hujui vitu tulia usiandike story za kubuni.
Airo na Wenje wako common kwa mengi wamezaliwa na kukua pamoja kinachowatofaurisha ni vyama tu.
Itikadi zao sawa tu.
Shule iko kwao Wenje jimbo la Airo so usishangae wakishirikiana.
Hiyo siyo hoja,hoja ni kuwa alimpa Wenje Mbunge wa Nyamagana (Chadema) ili iweje badala ya kuzitoa yeye mwenyewe ambaye shule iko jimboni mwake? Hizo ni siasa chafu tuu,tena kutoka kwa Mbunge mbumbumbu.
 
Kwa wanaomjua Wenje hawawezi kushangaa. Wenje ndio kawaida yake tabia za uongo na utapeli.

Kuna jamaa wamejuta kumuamini Wenje. Ubunge ukiisha jamaa ataishi maisha ya tabu sana...
 
hiyo m1 kumbe yy inamuuma eh? kwa vile hiyo pesa ni ya kwake naamini pia ni ya watanzania kwani ukijumlisha vyote alivyoiibia hii nchi deni lake limepungua tumebaki tunamdai 999m na tutazichukua kwa njia yoyote ile make ni zetu watanzania kapuku wa nchi hii
 
Kama hujui vitu tulia usiandike story za kubuni.
Airo na Wenje wako common kwa mengi wamezaliwa na kukua pamoja kinachowatofaurisha ni vyama tu.
Itikadi zao sawa tu.
Shule iko kwao Wenje jimbo la Airo so usishangae wakishirikiana.
so so so.. na hivi vi-ingereza vyenu vya kuchapia viraka! Kama wanaelewana sasa kwanini wasimalizane kama walivyopeana? Haya majungu peleka kwenu kapike yakiiva uwapakulie hao wa gazeti la mtanzania
 
Upuuzi mtupu, mwandishi haja-balance habari kuusikia upande wa pili anarukia kuchapisha habari, nchi hii hatuna waandishi, wanaongozwa na tumbo powered by bahasha ya khaki.
 
Kwa kweli masisiem mtaweweseka sana.

Jamani msi walaumu ccm hii ndio njia mpya eti wameianzisha kuizofisha CHADEMA baada ya njia zote kama ukabila, ukanda, udini, ugaidi kushindwa sasa ndio wameanzisha hii mpya na inasemekana mwigulu ndiye kaizindua majuzi. Ngoja tusikilize nayo kama itafanikiwa chini ya viongozi makini wa CDM. VIVA CDM
 
Back
Top Bottom