Wabunge wa UKAWA ni wendawazimu?

Wabunge wa UKAWA ni wendawazimu?

Ni wanafiki tu. Unafikiri ulimwengu ndiyo utashinikiza kusifanyike uchaguzi tena! Nafuu Magufuli aliwapa za uso kwa kuwaambia kuwa ni watoto!

Hata uchaguzi mgeurudia mara 1000000000 bado wapiga kura ni wale wale na watamchagua maalim seif kuwa rais wa zanzibar mtahangaika sana nyinyi vikonyo
 
Hawamtambui rais lakini walishiriki kupiga kura kwa ajiri ya kilicholetwa na rais wasiyemkubali, hiki ni kituko cha karne. Walimpinga rais lakini wakaomba wakafanye naye tafrija, kwani rais akiwa kwenye tafrija ndo haitwi rais? hiki nacho kinaleta kinyaa hatari. Hotuba ya rais kwanza ni lazima ijadiriwe bungeni, sasa sijui wanamaanisha hawatashiliki kuijadiri kwasababu hawamtambui rais, ama watashiliki kuijadiri hotuba wakati aliyeileta hawamtambui? haya yatakuwa maajabu ya dunia.
Tatizo la Ukawa naliona katika mambo yafuatayo
1. Wamegeuka wanaharakati.
2. Wanakosa watu makini wa kuwaongoza nje na ndani.
3. Utoto
4. Wameferi kutambua kwamba wao wanawakilisha majimbo yenye itikadi tofauti, wanahisi kana kwamba majimbo wanakotoka wananchi wote ni Ukawa na kwamba wanaridhia yanayofanywa na wabunge wao, wanajidanganya na matendo haya yatawaumiza zaidi wao kwasababu hata rais mwenyewe aliwaambia wananchi wapeleke watu ambao hawatakuwa na tabia za kususa na kutokatoka nje ..Ukawa wamekalia kuti kavu.

Degedege inakusumbua
 
Msiingeiba Kura Zanzibar haya yasingetokea haihitaji kuwa na degree kujua kuwa wasioitakia mema nchi hii ni CCM kwa uroho wao wa madaraka na kuvuruga demokrasia kwa kila namna..Parliament Walkout ipo nchi zote ni kusimamia wanachokiamini.

Mkuu hao manyumbu hayajui chochote wao ni kushangilia kama mazwazwa tu na watakoma maana hata warudie uchaguzi mara ngapi lkn urais ni kwa seif sharif
 
Nani kakudanganya kuwa rais wa zanzibar ni shein? Uchaguzi umefanyika lini?
Read Constitution between lines! The state machinery does not have vacuums and life has to go ON!
 
Read Constitution between lines! The state machinery does not have vacuums and life has to go ON!

Tunamtambua maarim seif kuwa ndiye mshindi wa uchaguzi uliopita
 
wendawazimu niwale jamaa wa NDIOOOOOOOOO!
na huyo prof aliyesema ukawa ni nyumbu yeye ni nyumbu zaidi,tena msaka tonge anayetafuta huruma ya watawala.Nguruwe hutafuta malisho popote hata chooni.
 
Mleta mada wewe ndiwe mwendawazimu # moja. Magufuli kakomalia yale ukawa walioyapigia kelele bungeni siku zote huku wa ccm wakipa ndiyooooo na kuwadhalilisha huku wakifukuzwa bungeni na Mainda. Sasa wataisoma namba na ndipo watajua the so called "nyumbu" hapa wamewamaliza vyema. Wale wazee wa suti waliumbuka pale Dodoma hadi wametia huruma. UKAWA wameisaidia sana Tanzania. Malim Seif kashinda mpeni urais wake. Kwa nini mnaung'ang'ania? Kwa sasa subiri katiba ya wanachi ipitishwe tuchague viongozi tuwatakao kwa uhuru na haki halafu tuone kama utakuja hapa kuwaita wabunge wendawaazimu. Sera zao zimekubalika. Raisi anazitekeleza na mnaisoma namba kwani ndiyoooo! zinakaribia mwisho wake.
 
Achaneni na ukawa.....mlishasema ni kikundi kidogo kinawatishia nn??
 
Hata uchaguzi mgeurudia mara 1000000000 bado wapiga kura ni wale wale na watamchagua maalim seif kuwa rais wa zanzibar mtahangaika sana nyinyi vikonyo
Zitto Kabwe amerudi mjengoni, una lakusema tena? Mwenye GUBU katika ubora wako!
 
Wewe gamba umetoa povuuu ila uliposema eti watu wenye akiri timamu nikadkia kichefuchefu? Watu wapi hao wenye akiri timama? Ccm?? Nyumbu za ccm? Wewe ni zaid ya kicha pumuzika milembe
 
Back
Top Bottom