Wabunge wa UKAWA mkoa wa Kigoma

Wabunge wa UKAWA mkoa wa Kigoma

lendila

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2012
Posts
5,805
Reaction score
4,374
Amini,amini nakuambieni wabunge hawa nitakao wataja majina yao kwenye orodha hapa chini watarudi bungeni kupitia ukawa,
1)Davdid kafulila
2mkosamal
3)machali
4)mama yetu agrpina
 
Sababu??

Au umeota na kuhisia tu?

Support your conclusion with clear arguments.....
 
Sababu??

Au umeota na kuhisia tu?

Support your conclusion with clear arguments.....

Kauli ya kipuuzi ya zzk kwamba mbunge yeyote wa majimbo ya Kigoma akitaka kutetea nafasi yake sharti ahamie act-zzk vinginevyo ubunge atausikia tu.Hii ni kauli ya dharau kwa watu wa Kigoma
 
Kauli ya kipuuzi ya zzk kwamba mbunge yeyote wa majimbo ya Kigoma akitaka kutetea nafasi yake sharti ahamie act-zzk vinginevyo ubunge atausikia tu.Hii ni kauli ya dharau kwa watu wa Kigoma

wewe ndo umeona n dharau yule ndo kiongoz wetu na habar ndo hiyo. team wazalendo
 
Amini,amini nakuambieni wabunge hawa nitakao wataja majina yao kwenye orodha hapa chini watarudi bungeni kupitia ukawa,
1)Davdid kafulila
2mkosamal
3)machali
4)mama yetu agrpina
Hahahaaaa mjomba unachekesha kwani ukawa Ni chama....sema wote hao wanne watarudi bungeni kupitiac chama cha nccr-mageuzi
 
Muda ukifika tutaangalia ila Mkosamali nakumbali sana
 
amini,amini nakuambieni wabunge hawa nitakao wataja majina yao kwenye orodha hapa chini watarudi bungeni kupitia ukawa,
1)davdid kafulila
2mkosamal
3)machali
4)mama yetu agrpina

ye muga aho nyene ni hene,tulihamwe.
Nta shida awo watwale walakomeye neza!
-uyo mugabo yitwa zito alagwaye!
 
jimbo la mkosamali nasikia ccm wanaanza kuwa na nguvu,wananchi wanataka kumkomoa mkosamali,kuna ukweli au uzushi wa zilipendwa za ccm?
 
wewe ndo umeona n dharau yule ndo kiongoz wetu na habar ndo hiyo. Team wazalendo

team wazalendo yahe?

-i chigoma yosee nyene tuloichagula chadema ne iniccr majeuzi.

-nta act nyene,mkigoma ye muga!
 
jimbo la mkosamali nasikia ccm wanaanza kuwa na nguvu,wananchi wanataka kumkomoa mkosamali,kuna ukweli au uzushi wa zilipendwa za ccm?

nhiruhubusa una makengeza kama ya chenge kijana?
-hivi hujui mkosamali kwa muhambwe ni zaidi ya mbunge?
-siasa za kibondo c.c.m kushinda haita tokea tena maana kuna watu wamewekeza kama chama ni cha koo zao!


Nina kuapia tena na tena mkosamali atashinda uchaguzi wa mwaka 2015.
 
nhiruhubusa una makengeza kama ya chenge kijana?
-hivi hujui mkosamali kwa muhambwe ni zaidi ya mbunge?
-siasa za kibondo c.c.m kushinda haita tokea tena maana kuna watu wamewekeza kama chama ni cha koo zao!


Nina kuapia tena na tena mkosamali atashinda uchaguzi wa mwaka 2015.

Good news mkuu ukawa lazima wajae bungeni
 
Hana jipya kabixa asipo angalia hata yeye atakosa siasa za kigoma hazitabiriki tena ana wachafua hivyo balaa amuulize kaka yake kaburu kigoma mjini wakimfanyaje;
 
Back
Top Bottom