Madumbikaya
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 734
- 2,271
Sauti ya Tundu lisu ya kudai mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi ili kura ya mwananchi iwe na thamani ina mshindo mkuu ,
Kwa ushahidi,Pitia akaunti ya Jamiiforums ya Facebook usome maoni pale wanapohabarisha habari za Tundu lisu na Fuatilia ukimya wa wabunge bungeni kwenye bunge lililokuwa linaendelea
Kosa kubwa ambalo ccm walikosea ni maamuzi ya kuwalazimisha wana ccm kuwapa viongozi wa mitaa wasiowataka na ambao hawawapendi ndio wana ccm wakatambua kuwa hakuna maana ya uchaguzi kama mwenyekiti tu wa mtaa wanalazimishwa yule wasiemtaka wala kumpenda,
Kwa mujibu wa wana ccm wenyewe Uongozi wa mitaa watu wanachagua mtu wampendae na sio chama ,Watu huangalia busara za muhusika,ucheshi na uwezo wa kufikika kirahisi
Uchunguzi unaoyesha chochote kitakachoandikwa mtandaoni chenye kinyume na mabadiliko anayoyadai Tundu lisu kuhusu uchaguzi kupoteza maana wananchi wameamka na kumuunga mkono
Platform zote iwe Facebook,Instagram na Tweeter watu wanadai mabadiliko au reforms na wakiongozwa na wabunge wa ccm wenyewe ambao wanaomba kura zihesabiwe kwa haki na wala wasiongezewe
Platform ya Jamii forum Facebook imeonyesha hasira kali za wananchi juu ya mamlaka kwenye maoni
Kwa kujiridhisha unaweza ukasoma maoni ya platform ya jamii forums facebook kuhusu kukamatwa kwa Tundu lisu au ile ya kuhamishwa gereza iliyokanushwa na msemaji wa magereza inaonyesha mwamko upya wa uelewa kwa wana ccm wenyewe wote wanadai mabadiliko
Mambo sio shwari tena hata ndani ya ccm,Makundi yaliyoenguliwa ubunge wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 wengi walikuwa Team Emanuel Nchimbi(Team lowasa) na Team Bernard Membe .Hawa ndio ccm asilia au ccm ina wenyewe na sasa ndio wana maamuzi ya nani awe mbunge
Team lowasa na Team Membe ilibakiza wabunge wachache sana uchaguzi wa 2020 na hawa ni wale waliomba msamaha na kumpigia magoti hayati Magufuli
Kundi kubwa la wabunge waliopo bungeni walipitishwa kwa nguvu na hila kupitia kundi la akina Bashiru Ally ambalo liliamini kuiangamiza ccm asilia iliyokuwa inaundwa na Team lowasa pamoja na Team Membe
Haya makundi yote ya Team Lowasa na Membe ni kundi moja na marafiki sana linapokuja suala la kupeana vyeo na kukumbukana kwenye kutafuna asali ya Taifa . Wanatofautiana tu ni nani ashike Mamlaka ya juu ya nchi yaani Rais,Spika na Waziri mkuu
Emmanuel Nchimbi kwa sasa ndie mshika Mpini na katibu mkuu wa CCM taifa na tayari ameonyesha nguvu zake kwa kumptisha Rais Samia Suluhu Hassan kama mgombea urais wa mwaka 2025 bila mwanachama yeyote kuhoji kutoka kundi la ccm wakuja
Team lowasa ikiongozwa na Kimbisa na Kibajaji kwenye vikao vya ccm mwaka huu walilazimisha hoja yao ya Rais Samia Hassan awe mgombea urais wa mwaka 2025 na wote waliufyata
Ni dhahiri hakuna mbunge hata mmoja wa ccm waliopo bungeni sasa anayeweza kupinga No reform no election isipokuwa wale wachache ambao ni Team Nchimbi kama Simba Chawene,Kibajaji na Musukuma ambao mshika Mpini ni mtu wao na watapita tu ubunge
Uchunguzi unaonyesha asilimia 90% ya wabunge waliopo bungeni hawatarudi bungeni na hao ndio wanahitaji No reform no election kuliko muda wowote ule
Wana ccm wenyewe huku mitaani ndio wanaongoza kusukuma mabadiliko yanayodaiwa na Tundu lisu kutokana na kuwawekea wenye viti wa mtaa wasiowapenda
Kwa ushahidi,Pitia akaunti ya Jamiiforums ya Facebook usome maoni pale wanapohabarisha habari za Tundu lisu na Fuatilia ukimya wa wabunge bungeni kwenye bunge lililokuwa linaendelea
Kosa kubwa ambalo ccm walikosea ni maamuzi ya kuwalazimisha wana ccm kuwapa viongozi wa mitaa wasiowataka na ambao hawawapendi ndio wana ccm wakatambua kuwa hakuna maana ya uchaguzi kama mwenyekiti tu wa mtaa wanalazimishwa yule wasiemtaka wala kumpenda,
Kwa mujibu wa wana ccm wenyewe Uongozi wa mitaa watu wanachagua mtu wampendae na sio chama ,Watu huangalia busara za muhusika,ucheshi na uwezo wa kufikika kirahisi
Uchunguzi unaoyesha chochote kitakachoandikwa mtandaoni chenye kinyume na mabadiliko anayoyadai Tundu lisu kuhusu uchaguzi kupoteza maana wananchi wameamka na kumuunga mkono
Platform zote iwe Facebook,Instagram na Tweeter watu wanadai mabadiliko au reforms na wakiongozwa na wabunge wa ccm wenyewe ambao wanaomba kura zihesabiwe kwa haki na wala wasiongezewe
Platform ya Jamii forum Facebook imeonyesha hasira kali za wananchi juu ya mamlaka kwenye maoni
Kwa kujiridhisha unaweza ukasoma maoni ya platform ya jamii forums facebook kuhusu kukamatwa kwa Tundu lisu au ile ya kuhamishwa gereza iliyokanushwa na msemaji wa magereza inaonyesha mwamko upya wa uelewa kwa wana ccm wenyewe wote wanadai mabadiliko
Mambo sio shwari tena hata ndani ya ccm,Makundi yaliyoenguliwa ubunge wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 wengi walikuwa Team Emanuel Nchimbi(Team lowasa) na Team Bernard Membe .Hawa ndio ccm asilia au ccm ina wenyewe na sasa ndio wana maamuzi ya nani awe mbunge
Team lowasa na Team Membe ilibakiza wabunge wachache sana uchaguzi wa 2020 na hawa ni wale waliomba msamaha na kumpigia magoti hayati Magufuli
Kundi kubwa la wabunge waliopo bungeni walipitishwa kwa nguvu na hila kupitia kundi la akina Bashiru Ally ambalo liliamini kuiangamiza ccm asilia iliyokuwa inaundwa na Team lowasa pamoja na Team Membe
Haya makundi yote ya Team Lowasa na Membe ni kundi moja na marafiki sana linapokuja suala la kupeana vyeo na kukumbukana kwenye kutafuna asali ya Taifa . Wanatofautiana tu ni nani ashike Mamlaka ya juu ya nchi yaani Rais,Spika na Waziri mkuu
Emmanuel Nchimbi kwa sasa ndie mshika Mpini na katibu mkuu wa CCM taifa na tayari ameonyesha nguvu zake kwa kumptisha Rais Samia Suluhu Hassan kama mgombea urais wa mwaka 2025 bila mwanachama yeyote kuhoji kutoka kundi la ccm wakuja
Team lowasa ikiongozwa na Kimbisa na Kibajaji kwenye vikao vya ccm mwaka huu walilazimisha hoja yao ya Rais Samia Hassan awe mgombea urais wa mwaka 2025 na wote waliufyata
Ni dhahiri hakuna mbunge hata mmoja wa ccm waliopo bungeni sasa anayeweza kupinga No reform no election isipokuwa wale wachache ambao ni Team Nchimbi kama Simba Chawene,Kibajaji na Musukuma ambao mshika Mpini ni mtu wao na watapita tu ubunge
Uchunguzi unaonyesha asilimia 90% ya wabunge waliopo bungeni hawatarudi bungeni na hao ndio wanahitaji No reform no election kuliko muda wowote ule
Wana ccm wenyewe huku mitaani ndio wanaongoza kusukuma mabadiliko yanayodaiwa na Tundu lisu kutokana na kuwawekea wenye viti wa mtaa wasiowapenda