Wabunge wa CCM ni waoga

Wabunge wa CCM ni waoga

Laurent lucas

Member
Joined
Oct 25, 2012
Posts
20
Reaction score
0
Katka bunge la leo sikutarajia kuona baadhi ya wabunge wa ccm ni waoga kiasi kile,Jana jion walionekana wa hali ya uchungu na nchi hii leo wamerudi nyuma,hv hata ww kwa akili yako ya kawaida serikali inaweza kuchunguza jambo hili kwa usahihi kabisa na kuleta ukweli hadharan bila kumuonea mtu aya.si utamadun wa wetu kabisa labda tusubir tuone.Wabunge wa ccm wanauoga wa kutoteuliwa majina yao kama watachangia hoja ambayo ni mwiba kwa viongoz wao
 
Sasa unategemea kweli watie kitumbua mchanga, watalia kwa uchungu siku hoja imetolewa yaani utafikiri sasa mapinduzi tayari lakini siku ya kutoa hoja utaskia mheshimiwa spika nimeumia, nimekasirika na pia nimehuzunishwa lakini kwa heshima yako naomba kuunga mkono hoja.Mimi nilishaacha kupoteza tention zangu na mambo ya Bunge ni juzi tu walipotaka kunigusa kunako kwenye mambo ya fao la kujitoa ndo nikarudi kuwasikiliza ujinga wao na walivolirudisha tu sina time nao wakitaka hata nchi waiuzie wazungu mi kwangu powa tu
 
Wananufaika na Mfumo hao..wote wabunge wa ccm ni wafu kama chama chao.
 
Back
Top Bottom