GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
bunge la kenya limechukua maamuzi magumu na kupitisha sheria kwamba wabunge wote lazma wawe na kiwango cha chini cha elimu kwa kiwango cha SHAHADA.
sasa, je bunge la tanzania wanalichukuliaje hili?, maana kwa sasa kweli kuna ulazima wa wabunge nao wachujwe kwa kiwango cha elimu, maana mwenye elimu ya darasa la saba hawezi kua na weledi na ufahamu kama mwenye shahada!
najua hili likifikishwa mjengoni itakua ni balaaa, kuna wabunge watapinga kwa nguvu zote huku mapovu yakiwatoka midomoni na majasho yakiwatiririka mwilini!.
my opinion ni kwamba kweli ifike wakati wabunge wawe na shahada (degree) na madiwani atleast a diploma.
wewe una maoni gani?
sasa, je bunge la tanzania wanalichukuliaje hili?, maana kwa sasa kweli kuna ulazima wa wabunge nao wachujwe kwa kiwango cha elimu, maana mwenye elimu ya darasa la saba hawezi kua na weledi na ufahamu kama mwenye shahada!
najua hili likifikishwa mjengoni itakua ni balaaa, kuna wabunge watapinga kwa nguvu zote huku mapovu yakiwatoka midomoni na majasho yakiwatiririka mwilini!.
my opinion ni kwamba kweli ifike wakati wabunge wawe na shahada (degree) na madiwani atleast a diploma.
wewe una maoni gani?