Mtanzania na mkenya waliingia
supermarket moja jjni
Dsm,walipotoka Mkenya akawa
anajigamba kwamba wakenya ni
wajanja kuliko wa Tz huku
akimwonyesha mTz chokolet tatu
alizoiba supermarket,mbongo
akamshawishi waludi tena ili na yy
akamwonyeshe ustadi wake
walipofika ndani Mtz akamwambia
mhudumu nataka nikuoneshe
mazingaombwe,hebu niletee
chokolet tatu, yule mhudumu
akaleta tatu jamaa akazila zote
mbele ya mhudumu halafu akasema
unaona nimekula chokolet tatu
lakini amini usiamini chokolet zako
zote zipo mfukoni kwa uyu jamaa,
mhudumu akamkagua Mkenya
mfukoni akachukua choklet zake
zote tatu duuuu nani mjanja
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
supermarket moja jjni
Dsm,walipotoka Mkenya akawa
anajigamba kwamba wakenya ni
wajanja kuliko wa Tz huku
akimwonyesha mTz chokolet tatu
alizoiba supermarket,mbongo
akamshawishi waludi tena ili na yy
akamwonyeshe ustadi wake
walipofika ndani Mtz akamwambia
mhudumu nataka nikuoneshe
mazingaombwe,hebu niletee
chokolet tatu, yule mhudumu
akaleta tatu jamaa akazila zote
mbele ya mhudumu halafu akasema
unaona nimekula chokolet tatu
lakini amini usiamini chokolet zako
zote zipo mfukoni kwa uyu jamaa,
mhudumu akamkagua Mkenya
mfukoni akachukua choklet zake
zote tatu duuuu nani mjanja
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums