Mikocheni kwa Wasanii wa Bongo Movie na Wasanii wa Bongo fleva.Na sisi wa Mikocheni vipi?
hahaaa kwani uwongo ??Ushoga magomen mtoa mada fala sana ww
Weye tena kwa kuzurura hongera, nisubiri jumapili tu nikitua Dar tuje tuzurure wote.Tegetaaa wala hujakosea nilikuwa nazurula kwenda Bahar beach kuanzia kwa ndevu mpaka Bunju B
Kwani mkuu kagusa ndipo?Ushoga magomen mtoa mada fala sana ww
Nakusubiri kwa hamuuu shemelaaaWeye tena kwa kuzurura hongera, nisubiri jumapili tu nikitua Dar tuje tuzurure wote.