Roulette
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 5,579
- 5,375
Jamani nilikua nasoma habari za mazingira hapa: Les détritus dans le Pacifique 2 - La Lettre Ecol'Eau nikaona hii picha ya msasani, roho ikauma sana.
Hivi kwa kuanza mabadiliko, almashauri ya mji wa Dar Es Salaam ikitukataza kutumia mifuko ya plastic (polythene bags) itakuwaje?
Hatuna kabisa mbadala? mbona nchi kama Rwanda wameweza? Wewe binafsi utachukuliaje uamuzi huo?
Hivi kwa kuanza mabadiliko, almashauri ya mji wa Dar Es Salaam ikitukataza kutumia mifuko ya plastic (polythene bags) itakuwaje?
Hatuna kabisa mbadala? mbona nchi kama Rwanda wameweza? Wewe binafsi utachukuliaje uamuzi huo?