Fab JF-Expert Member Joined Apr 16, 2010 Posts 757 Reaction score 14 Aug 1, 2010 #1 YouTube - Mwizi ajifanya mzigo ili akombe fedha
RedDevil JF-Expert Member Joined Apr 30, 2009 Posts 2,367 Reaction score 1,524 Aug 1, 2010 #2 Hahahahahaha, jamaa noma hao! jamaa mijasho hiyondani ya box.
Fisherscom JF-Expert Member Joined Mar 13, 2008 Posts 1,913 Reaction score 1,035 Aug 1, 2010 #3 Hiyo kali mkuu,tuwe makini sana na vifurushi vya namna hiyo.
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 98,109 Reaction score 143,483 Aug 1, 2010 #4 Ebana eeeh nimecheka vibaya sana. Duuuuh kulaleki walahi..... Loh! Jumapili naona nimeinza vizuri leo....yaaani bado nacheka......
Ebana eeeh nimecheka vibaya sana. Duuuuh kulaleki walahi..... Loh! Jumapili naona nimeinza vizuri leo....yaaani bado nacheka......
M Mutu JF-Expert Member Joined Mar 30, 2008 Posts 1,329 Reaction score 53 Aug 1, 2010 #5 huu utaalamu nimeufagilia ingawa hapa umefeli
Lukolo JF-Expert Member Joined Dec 2, 2009 Posts 5,143 Reaction score 3,210 Aug 1, 2010 #6 Naupongeza umakini wa mwenye duka. Kwa kweli kwa ufungaji huo wa box, si rahisi mtu kudhania kwamba kwenye box kuna binadamu. Safi sana mwenye duka. Hizi ndiyo ajira ambazo JK anajigamba kwamba ameziongeza.
Naupongeza umakini wa mwenye duka. Kwa kweli kwa ufungaji huo wa box, si rahisi mtu kudhania kwamba kwenye box kuna binadamu. Safi sana mwenye duka. Hizi ndiyo ajira ambazo JK anajigamba kwamba ameziongeza.
Gaijin JF-Expert Member Joined Aug 21, 2007 Posts 11,812 Reaction score 5,303 Aug 1, 2010 #7 hahaha ................duh!
pmwasyoke Platinum Member Joined May 27, 2010 Posts 5,001 Reaction score 3,825 Aug 2, 2010 #8 Kwa kewli inatakiwa vijana hao wapewe mafunzo na kisha waajiriwe katika jeshi la polisi - watasaidia kugundua mbinu mpya za majambazi
Kwa kewli inatakiwa vijana hao wapewe mafunzo na kisha waajiriwe katika jeshi la polisi - watasaidia kugundua mbinu mpya za majambazi