Hivi yuko nchi gani sasa hivi?, mara ya mwisho nilimsikia eti amefanikisha kuleta mkutano uliokuwa ukifanyika Malaysia kwa miaka zaidi ya 15 hapo 2013, hivi ni kweli tunahitaji mikutano???, nadhani matatizo ya nchini kwake hayampi shida..
Hivi yuko nchi gani sasa hivi?, mara ya mwisho nilimsikia eti amefanikisha kuleta mkutano uliokuwa ukifanyika Malaysia kwa miaka zaidi ya 15 hapo 2013, hivi ni kweli tunahitaji mikutano???, nadhani matatizo ya nchini kwake hayampi shida..
Nina wasiwasi na Uchumi aliosoma ****** pale mlimani kama kweli unamsaidie ktk kuongoza nchi!!!!!!!!! Hajui nini kipaumbele cha nchi anayoingoza kwa sasa....
Hivi yuko nchi gani sasa hivi?, mara ya mwisho nilimsikia eti amefanikisha kuleta mkutano uliokuwa ukifanyika Malaysia kwa miaka zaidi ya 15 hapo 2013, hivi ni kweli tunahitaji mikutano???, nadhani matatizo ya nchini kwake hayampi shida..
sijaliona sina uhakika ni hiyo lakini kuna viashiria vya kuandika hayo hebu fikiria haya:-
1. nlimnasa Salma akihutumia wajumbe wa ccm akisema serikali ya ccm itahakikisha inaboresha elimu. nkajiuliza tamko hilo anatoa kwa mamlaka yapi aliyonayo?
2.Jk kapungua sana inaonyesha hafurahii kuwa ikulu!!
mabango ya aina hiyo yakifika mia moja bila shaka atajiuzuru tu.......wananchi wamechoka!!!!!!!!!!!!!!!!!! maisha bora yamepepesuka na upepo......................