Wabobezi wa Siasa nisaidieni Kujibu hili Swali Muhimu ili nisije Kupata ' Sapu ' katika Mtihani wangu wa Jumanne ijayo

Siku zingine ni vyema kama ukiwa unajijua kabisa kuwa una Upumbavu wa Kurithishwa na una ' Uandamizi ' nao kabisa basi ukiona Mada ambazo Ubongo wako hauwezi Kukabiliana nazo katika Kuzidadavua Kimantiki na Kiuhalisia wake ni vyema ukanyamaza tu ili uwapishe ' Great Thinkers ' waje Wakufundishe jinsi ya Kufikiri na hata Kutumia Akili ambazo si tu huna lakini pia hukubarikiwa nazo na Mwenyezi Mungu kwakuwa alikuumba Makusudi ili uje kuwa Kielelezo bora cha Wapumbavu wote unaowawasilisha hapa duniani.
mama ako anajua hayo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona Majibu yako hapa yanaonyesha wazi kabisa ulipokuwa huko Chuo Kikuu kwa Upumbavu wako huu wa Kurithishwa uliwapa taabu sana Wakufunzi ( Wahadhiri ) wako na pengine hata Kumaliza Kwako Chuo hapo Kwao ilikuwa ni Sherehe Kubwa kwani ' Mzigo Kero ' umeondoka.
Mtu akiwa na akili kukuzidi lazima lazima ikusumbue kumuelewa
 
Wanasayansi ni watu wa facts na experiments. Na mara nyingi wana akoli sana na pia hujitambua hivyo. Akisikia kitu atafanya majaribio kwa sample ya kutosha kuwa wakilishi (representative) ya population na kuona ukubwa wa tatizo, kabla ya hapo katatizo ni kadogo. Baada ya kupata conclusive fact ndipo huchukua hatua.

Wachumi huwa ni watu wa asaumptions nyingi ambazo huwa wana zi proove na ku forecaste tatizo linaweza kuwa kubwa kiasi gani hapo baadaye kutokana na assumptions na premises zao.
 
Mkuu wanasheria huwa marais wazuri, mfano marekani, nusu ya marais wake ni wanasheria.
 
Back
Top Bottom