Watu mnaamka asubuhi na gololi zenu kuja kumjadili mtu hapa, kama mmeshindwa kwenye thread zake, si mkae kimya. Tunahitaji watu kama waberoya humu tupende tusipende, mnaonyesha tabia ya ubinafsi sana kutaka kila mtu awe sawa na nyie, sikutegema watu kadhaa kuchangia
siamini kweli kabisa mnaanzisha thread ya kumjadili mtu! are you not great people who discuss ideas!
duh! ama kweli tembea uone, tuna issues kibao za kujadili humu siyo waberoya mth f.c.urs , after all tunayemjua kuanzia miaka hiyo ni mwanachadema mzuri tu.
you beta fak yourself, upuuzi huu!!!