Waarabu waitamani Gaza lakini Netanyahu awaambia lile sasa ni eneo la Israel!

Nchi kadhaa za kiarabu ikiwemo Qatar wameonesha nia ya kutaka Kujijenga upya Gaza ili Wananchi wa Palestine wapate makazi ya Kuishi kama awali

Lakini msimamo wa Netanyahu bado ni Ule Ule Kwamba baada ya Vita Gaza itakuwa eneo la Israel kiulinzi na kimaisha
Tupo hapa habaki askari wa Israel hata mmoja Gaza, Netanyahu atabaki kubweka tu Israel hana uwezo wa kupigana vita na Hamasi.

Utakuja niambia maneno yangu ni 💯
 
Nchi kadhaa za kiarabu ikiwemo Qatar wameonesha nia ya kutaka Kujijenga upya Gaza ili Wananchi wa Palestine wapate makazi ya Kuishi kama awali

Lakini msimamo wa Netanyahu bado ni Ule Ule Kwamba baada ya Vita Gaza itakuwa eneo la Israel kiulinzi na kimaisha
Hao Qatar ndio waliotoa pesa ya ujenzi wa mahandaki hawataiwi pale Gaza kwa usalama wa kudum wa Israel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi kadhaa za kiarabu ikiwemo Qatar wameonesha nia ya kutaka Kujijenga upya Gaza ili Wananchi wa Palestine wapate makazi ya Kuishi kama awali

Lakini msimamo wa Netanyahu bado ni Ule Ule Kwamba baada ya Vita Gaza itakuwa eneo la Israel kiulinzi na kimaisha
Safi sana Netanyahu. Mungu ambariki sana Netanyahu na Israel na amjalie amani Yerushaleyim.

Asante Netanyahu kwa kutulipizia kisasi cha Mollel na Mtenga.
 
Kaa hapa hapa hadi sisimizi wa mwisho Gaza auwawe
Netanyahu alizoea safari hii atajuta wanaume wamejipanga huku Hamas , kule Yemen , kaskazini Hezbollah. Iran anapanga safu zake tu hii vita safari hii atoke muyahudi au atoke mpalestina kitajulikana tu. By the way umepata taarifa leo Iron dome 2 zimeondolewa tayari ma Hezbollah ili kuruhusu mvua ya mabomu huko kaskazini?
 
Kama kweli Qatar walihusika nayo itaangamia.

God Bless Israel
😄 Qatar imebarikiwa nchi ndogo inaweza kukunua mpaka wewe.

Israel ina lana hio itabaki hivyo hivyo taifa la Mungu haliwezi kuishi kwa kuhofu hofu maisha yao.

Taifa la Mungu haliwezi kutegemea America labda mungu wa Paulo ndio dhaifu sababu ni binadamu
 
Nchi kadhaa za kiarabu ikiwemo Qatar wameonesha nia ya kutaka Kujijenga upya Gaza ili Wananchi wa Palestine wapate makazi ya Kuishi kama awali

Lakini msimamo wa Netanyahu bado ni Ule Ule Kwamba baada ya Vita Gaza itakuwa eneo la Israel kiulinzi na kimaisha
Anajidanganya tu lintanyahu. Wenziwe wako wapi? wanachomwa tu hivi sasa
 
Netanyahu alizoea safari hii atajuta wanaume wamejipanga huku Hamas , kule Yemen , kaskazini Hezbollah. Iran anapanga safu zake tu hii vita safari hii atoke muyahudi au atoke mpalestina kitajulikana tu. By the way umepata taarifa leo Iron dome 2 zimeondolewa tayari ma Hezbollah ili kuruhusu mvua ya mabomu huko kaskazini?
SIO MCHEZO SHABAHA SAHIHI HAMMAS HATARI.
 

Attachments

  • 11f9220a-a0c9-4442-bcc0-6c28257d06cd.mov
    479.2 KB
Netanyahu alizoea safari hii atajuta wanaume wamejipanga huku Hamas , kule Yemen , kaskazini Hezbollah. Iran anapanga safu zake tu hii vita safari hii atoke muyahudi au atoke mpalestina kitajulikana tu. By the way umepata taarifa leo Iron dome 2 zimeondolewa tayari ma Hezbollah ili kuruhusu mvua ya mabomu huko kaskazini?
Kaa hapa hapa upate habari jinsi Israel anavyonilipizia kisasi cha kuuliwa kwa Watanzania wenzangu.
 
Kuongea ni jambo rahisi sana tatizo linakuja kwenye utekelezaji.
Ni mwezi wa tatu wako vitani lakini mpaka sasa wanadhibiti %30 tu ya gaza bado na hapo anapo padhibiti ni pa moto.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
30% Unaijua wewe, shuleni ulikuwa unakimbia hisabati, Sasa ivi unawadanganya na 30% uonekane unajua. Kama hujui hisabati kaaa kimiya
 
Nchi kadhaa za kiarabu ikiwemo Qatar wameonesha nia ya kutaka Kujijenga upya Gaza ili Wananchi wa Palestine wapate makazi ya Kuishi kama awali

Lakini msimamo wa Netanyahu bado ni Ule Ule Kwamba baada ya Vita Gaza itakuwa eneo la Israel kiulinzi na kimaisha
nimeona washaanda ma project ya kujenga ma appartment ila hao wa israel wataoenda kukaa pale hawatakuwa wanajelewa,kila watachojena pale kitabomolewa vibaya
 
Back
Top Bottom